Hao Makamishna wa Mchongo kabisa, wanaonekana kabisa wako upande gani utadhani kuwa wao ni mawakala wa chama. Nani alilipia gharama za wao kufanya press conference Serena Hotel?
Ili kampuni iamue kutoa rushwa ya pesa yote hiyo kwani gharama ya kuprint hizo ballot papers ni kiasi gani? Hii ni taarifa ya kumchafua Chibukati, waoneshe hiyo taarifa ya Interpol siyo gazeti liisemee.
Shamba linauzwa Lipo kijiji cha Nambendo Songea, kilomita 100 kutoka Songea mjini, lina ukubwa wa ekari elfu mbili (2000) lina hati.
Shamba linafaa kwa mazao mchanganyiko kama utavyoona kwenye picha, mpunga, Alizeti, mahindi, pilipili, mikorosho, n.k picha uzionazo ni mazao yaliyolimwa kwenye...
Kumbe ulikuwa unamjua, yule tapeli wa imani, ndiko Mussa alikoanzia akiwa mmoja wa vijana wake aliokuwa akiwatumia kwa miujiza ya kupanga. Alipohitimu naye akaenda kuanzisha huduma yake. Utatozwa consultation fee, utajieleza shida zako kisha atatuma vijana wake kina Mussa wanakuja kwako, wakiwa...
Korea Kusini Corona ilianzia kanisani, waumini 4000 wa lile kanisa linalofungisha ndoa za halaiki kwa waumini wake kutoka duniani kote walipata corona kwa wakati mmoja.
Tumbili aliyegeuka Marioo_O Njaa itakuua, unajifanya anauchungu na kutetea ouzo hata kuliko wenyewe wenywe chama chao. Asubiri kupewa talaka na mkewe tu sasa.
Hivi toka lini wakuu wa Mikoa na wilaya wakapanda majukwaani kuwanadi wagombea Kama inavyofanyika huko Arusha? Haijawahi kutokea na haipaswi kuachwa iandelee kwani hao si viongozi wa kisiasa.
Mwenye morning water asaidie kumfikishia mpendwa wetu, kwa Hali yake hawezi kusafiri Kwenda scoan, anointing water inatosha ili wasioamini waje yupo Mungu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.