Mkuu tunatofutiana kipato, kwako wewe hicho kiwango ni kidogo sana lakini kwangu mimi ni kikubwa sana. Maelekezo ya Serikali ni kwamba taasisi zichangie kiasi kisichopungua milioni 10, ukisema kiasi ambacho taasisi inatakiwa itoe kigawanywe kwa watumishi wote siyo sawa. Pia suala la kuchangia...
Habari za asubuhi?
Baada ya serikali kuyaomba michango mashirika yake ya Umma, yeye ameamua kuwalazimisha watumishi kuchangia (kwa kukatwa) posho zao kuanzia 20,000 na kuendelea ili aweze kupeleka kwa wahanga wa mafuriko.
Hali hii imezua maswali mengi sana miongoni mwa watumishshi hasa...
Kwakweli chuo kiko katika kipindi kigumu sana, uongozi wake wa juu unanyanyasa sana watumishi kwenye maslahi yao. Mtendaji mkuu amewateua wakuu wa Kampasi ambao wanamsikiliza yeye kwa chochote anachoamua. Mfano: Mkuu wa kampasi ya Singida ana uelewa wa kutosha hivyo hakubaliani na mtendaji mkuu...
Acha kupotosha eti wewe husomi. Wewe ulikuwa kinara kwenye kampeni za Majalwa (Polisi) kwenye uchaguzi wa Rais wa selikari ya wanafunzi mkashindwa kwa kishindo. Mkajikuta mmekosa yote... Uongozi na masomo.
Sema lingine lakini siyo kupotosha Umma. Wajulishe wenzako mliofeli nao kuwa chuo...
Hata ukiweka picha yake humu haitasaidia. Someni tu ndio dawa ya kufaulu. Tatizo nyie mkiwa chuoni mnachanganya sana mambo.. Starehe nyinyi... Kupiga kampeni za wagombea urais wa selikari ya wanafunzi nyinyi... Kuna kufaulu hapo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.