kama JF imefikia hatua hii, basi ni hatari. Mtu huja comment chochote but inaonekana wewe ndo mwanzisha thread ....kwa mtindo huu naamini hata PM mods huwa wanazisoma
Namimi nimeingizwa mkenge na jamaa kuja kufungua thread yake haraka nione hiyo brand ya skype, lol ndo nakuta kumbe yeye ndo anahitaji! Pamba....fuuUuuuuuuuuuuu!
Najua CRDB huwa wanatumia PASS guarantee kwenye mikopo yao ya kilimo pale mkulima anapokuwa haja meet kigezo cha kuwa na collateral ya kutosha. Sikumbuki maximum percentage ya guarantee, ila nahisi haizidi 20%.
Unataka kuwaingiza mkeze wenzio! Kigamboni kuna stopping order ya tangu 2008 mpaka leo. Tuamoyo huwezi kuuza wala kununua ardhi kwa shamba.[pottptppoiioopoiiuiiiQiiopooiooooiopoiqioioyUOTE=survivor03;3120089]Nauza nyumba ipo tuamoyo kigamboni karibu na maeneo ya mikadi beach. Ukubwa440 sqm...
Hana tofauti na wanafunzi wa Udom, akiwa udms bangi ilikuwa ndio starehe yake. Kipindi hicho alikuwa radical sana, kumbuka wakati ule anafuatilia mikopo ya wanafunzi hesbl, alikuwa anavuta kwanza then ndio anakenda kufanya mipango ya migomo.
Kama huamini acha na nenda zako, usichangie upupu...
Tuna M-pesa, TiGo Pesa, Airtel Money na ZAP. Kenya na Tanzania mpaka sasa kuna huduma hizi zilizokwishaanzishwa:-
1) Bulk salary pay: wafanyakazi wanalipwa mishahara kupitia huduma hizi
2) Manunuzi ya airtime, luku, startimes vouchers
3) Bills payment: Dawasco, DSTV,
4) Malipo ya kodi...
Unataka ku- spend zaidi ya kipato. Kisha tu umeshindwa kujizuia na kuzoea kunywa pombe, kwenda club, kuhonga malaya, kula sehemu za kifahari, ku drive gari lenye fuel consumption kubwa, kupanga sehemu expensive, kupiga party za kujionesha kwa marafiki kwamba unazo, kuafanya shopping sehemu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.