Search results

  1. B

    Msaada wa namna ya kudeal na Mpangaji msumbufu

    Kuna jirani yangu pia alikuwa anasumbuliwa sana masuala ya kodi na mpangaji wake, yule mpangaji akawa anataka apewe notisi ya miezi 3 akae bure akidai ndiyo sheria inavyosema. Ikabidi mwenye nyumba aende serikali ya mtaa kumshitaki, hukumu iliyotoka mwenyekiti wa serikali ya mtaa alimwambia...
  2. B

    Yanayofanyika viwandani Tanzania ni utumwa. Kazi ngumu, maslahi duni. Serikali haina mpango na wananchi wake, inachoangalia ni kodi tu

    Mkuu upo sahihi kabisa, nipo nchini Singapore [emoji1215] hapa sasa hivi wahindi wamejazana kila kona, bandarini stevedores wote ni wahindi, vibarua vya ujenzi, usafi ni wao tu. Sijamuona mwafrika ni wao tu ndiyo wanatamba, ila uzuri wao wengine wasomi wanafanya kazi nzuri tu.
  3. B

    Wasafi Media Mtegoni. Diamond, Kusaga wavurugana

    Ni kweli kabisa mkuu unachoandika, Bakhressa lengo lake kubwa ktk kuanzisha UFM ni kutangaza biashara zake. Na ndiyo maana huwezi kusikia UFM ikitangaza matangazo ya kamari kama wanavyofanya hao Wasafi media au Clouds media.
  4. B

    Utajiri wa Magofu ya Rapta

    Mkuu kabla mzigo haujaisha usiache kutuambia kule wanakotengeneza madawa Fatemeh alipokuwa anaonesha dalili za arosto alikuwa anakimbilia kwenye kibanda kujitibu vipi na arosto.
  5. B

    Abakwa baada ya kutoka kanisani kusali misa ya Jumatano ya Majivu

    Hivi wapumbav kama ww kwanini JF inawalea sana? Unajisikia raha gani kukushifu Imani za wenzako?
  6. B

    Tuwafahamu Matajiri Maarufu wa mikoani

    Mwanza kuna jamaa anaitwa Kitano Chacha, ndiye tajiri mwenye meli nyingi Ziwa Victoria.
  7. B

    Tabia ya wachezaji kutema mate uwanjani inanikera sana

    Aziz Ki? naye hujawahi kumuona akiwa uwanjani?
  8. B

    Jean Baleke akiachwa Simba itakua ndiyo mwisho wangu kuwashabikia Wanalunyasi

    We sepa tu, hakuna kitakachopungua hata ukiondoka unyamani.
  9. B

    Kwa Wazazi ambao watoto wenu bado hawajapokelewa shule za English Mediums kwa sababu bado hamjalipa ada, pitieni hapa

    Kama pesa unayo poa tu siyo mbaya kumpeleka mtoto shule za gharama, shida inakuja kuna watu uwezo hawana halafu wanalazimisha kuwapeleka shule za ghali matokeo yake wanaanza kuwasumbua ndugu na jamaa kwa kuwaomba waongezewe pesa ya ada ya mtoto wake anayemsomesha shule za ghali.
  10. B

    Kati ya Kimara, Kigamboni na Kinondoni wapi ni bora zaidi kuishi?

    Sawa, asante mjinga mwenzangu nimekusikia.
  11. B

    Natafuta kazi ya Upishi

    Mkuu huu mchongo uliompatia itakuwa bora zaidi aende chuo cha bahari Dar Es Salaam Maritime Institute(DMI) kusoma kozi za kibaharia (mandatory course). Huwezi kufanya kazi ya upishi melini kama hauna vyeti hivyo (First Aid, Fire [emoji91] Fighting, Personal Survival Techniques, Personal Safety...
  12. B

    Kati ya Kimara, Kigamboni na Kinondoni wapi ni bora zaidi kuishi?

    Hata Kigogo Mburahati au Luhanga au Mabibo kwa hela hiyo unapata nyumba nzuri ya kupanga. Usafiri ni mwingi hauna shida maeneo hayo. Hata siku ukiamua kwenda Posta kwa miguu unaweza, ni mwendo wa lisaa limoja tu kwa mwendo wa kijana usiokuwa wa kiuvivu.
  13. B

    Aisee Bongo movie bado sana tusubiri miaka 1000

    [emoji1] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji1]
  14. B

    Fani Ya udakitari imevamiwa na madakitari wasiojitambua

    Iliwahi kutokea mgonjwa wa kupasuliwa goti alipasuliwa kichwa, na yule wa kupasuliwa kichwa alipasuliwa goti.
  15. B

    Wakili msomi Alberto Msando ampa ushauri Lemutuz ‘hakuna kosa kuwa na kibamia’

    Kweli mkuu, tupo mpaka mabaharia wasomi lakini hatuitwi hivyo
  16. B

    Magufuli umepigwa changa la macho Kibiti

    Wewe jamaa Cho.k.o. Unajua maana ya Mjahedeen au unaropoka tu?
Back
Top Bottom