Habarini ndg wapendwa,
Kuna jambo linanitatiza kuhusu ajira za Tanzania, nashindwa kuelewa ni kwanini mashirika mengi hapa Tanzania yanapotangaza nafasi za ajiara hayaweki dhahiri/hadharani kiwango cha mshahara?
Utakuta wanaandika tu qualification za muombaji nanduties atazojiusisha nazo...
Habarini ndg walendwa..
Kuna jambo linanitatiza kuhusu ajira za Tanzania, nashindwa kuelewa ni kwanini mashirika mengi hapa Tanzania yanapotangaza nafasi za ajiara hayaweki dhahiri/hadharani kiwango cha mshahara???.
Utakuta wanaandika tu qualification za muombaji nanduties atazojiusisha nazo...
Samahani watanzania wenzangu, naomba ushrikiano na msaada wenu,
Naomba kwa yoyte anaezifaham shule za private za kidato cha 5&6 zenye ada nafuu zilizopo mkoani Mwanza au Kagera anisaidie kuzifahamu ata ikiwezekana mawasiliano nazo.
Nitashukuru sana kama tapata msaada wako.
Ahsante sana.
Msaada Kwa Yoyte Yule Anaezijua Kwa Undani Shule Za Private Zenye Ada Chin Ya Mil.1
Zilzopo Mwanza Ama Kagera Naomba Anitajie Na Kama Inawezkana Ata Mawasiliano Yao Niyapate..
Tashkuru Xana Kma Thread Hii Itajbiwa Kwa Ukarimu.
Ahsanteni
Kama Unazfaham Shule Binafsi Za A-level Zenye Ada Nafuu Nitajie Iwe Ya Bord Kwa Wavulana Au Day,Husasa Ni Zile Zilzopo Mkoan Mwanza...Naomben Msada Wenu
Nb:itakua Vyema Kama Utanitajia Na Ada Yao Ni Kias Gn?
Ahsanten Wakuu,naomben Ushrkiano Wenu.
Wakuu Naombeni Kwa Wale Wanaozijua Shule Nzuri Za PRIVATE...A-level Zenye Kiwango Cha Chin Cha Ada Na COMBINATIONS Ztolewazo Na Shule Husika.Zilizopo Mkoa Wa MWANZA NA MARA Mnitajie.
NB:Itakua Vyema Kama Utaweka Na Kiwango Cha Fedha Taslim Kwa Mwaka Au Muhula...
Naweza sana kuimba na kuandika mashairi ya kizazi kipya, ila kipaji changu hakina nguvu coz sina support yoyote ile, hasa nyumbani. Hawapendi nifanye music.
Je, nifanyeje?
Naombeni mchango wenu kimawazo ndugu zangu.
Nawez Sana Kuimba Ila Cjapata Mzamin Na Sina Sapot Yoyte.Nisha Jarbu Kutafta Msada Ila Hakuna Nlichoambulia Zaid Ya Kukatishwa Tamaa...Naweza Sana Kurap Pia Ata Rnb,tatzo Ni Uchum Wang Yan Bdo Uko Chni Sana...Naomben Msaada Wenu Ata Ushaur Tu Unatosha..Namb Zang Za Sim 0756525438
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.