Tumia OMGrace Black Castor Oil ni kiboko kwa ukuzaji na utunzaji wa nywele,kama unasumbuliwa na mba na miwasho baada ya kusuka pia ni suluhisho lako.
ukinunua utapokea na karatasi ya maelekezo kwa ajili ya matumizi sahihi.
Inapatikana kwa Tshs. 15000/=
Delivery Dsm na Mwanza ni 3000/= hadi...
Ili biashara yako iwe na muonekano thabiti unahitaji kuwa na akaunti za biashara,wajasiriamali wengi ,wanachanganya biashara zao na maisha yao,akaunti ya biashara hiyo hiyo inatumika kwa mambo binafsi hilo ni kosa unahitaji kuwa na akaunti maalum kwa ajili ya biashara yako akaunti ambayo...
Tunatoa huduma ya kutangaza matangazo ya biashara na brand mtandaoni ambapo tuna aina 2 za kutangaza. -
Human factor na Machine Factor
Ukitumia human factor hii ni huduma inayojumuisha matumizi ya biandamu sana kukufanyia update na pia kucomment kulingana na aina ya swali na post,hii...
Unabidhaa yako leo na unataka kuitengenezea munekano bora zaidi? suluhisho lako kwa sasa ni Branding Product Package,Kifurushi cha bidhaa ambacho kinakupa vitu muhimu na vya msingi katika utengenezaji wa bidhaa yako.
Katika promosheni hii upande wa bidhaa kuna chaguzi 2.
1. Logo 2 na Sticker 1...
Anahitajika mtu mwenye uelewa mzuri wa Graphics designing.
Vigezo:
Awe anajua kutumia vizuri software za designing.
Uzoefu:
Sio chini ya miezi 6.
Jinsi ya kutuma maombi:
Tuma Cv pamoja na portofolio kwenda email: aplication244@gmail.com
Mwisho wa kutuma maombi: 18/07/2017.
Nembo ndio utambulisho wa biashara yako karibu Legacy upate Nembo inayoendana na Hadhi ya biashara yako. Piga sasa 0713603699 au info@legacytz.com kwa maelezo zaidi. Legacy Impresion Company au Legacy Impresion
Tunapatikana kijitonyama Dar es salaam na tunapokea hata kazi kutokea mikoa mingine...
Kwa huduma zote za Graphic design, webtech, Printing na Office Stationery, karibu utuone Legacy Impresion Company tunapatikana Kijitonyama Dar es salaam,Hudmuma zetu ni nzuri na bei zetu ni nafuu kabisa,tunadizaini LOGO,BUSINESS CARD,IDENTIFICATION,FLIERS,POSTERS,WHEEL COVERS, CALENDAR...
Hii ni maalum kwako wewe mfanyabiashara au mjasiriamali, karibu Legacy ujipatie huduma ya graphic na kuprint kwa bei nafuu na ubunifu wa hali ya juu, hakuna utapeli kufanya kazi na sisi tunapatikana dar es salaam lakini tunafanya na kupokea oda kutoka sehemu yoyote hapa nchini, tayari...
Kama ukiangalia vizuri nchi yetu ya Tanzania inatengeneza mabadiliko fulani ya kibiashara na kiuchumi na mabadiliko haya yatakuwa na athari na faida zake.
1. Kwa sasa serikali imeamua kutengeneza vitambulisho vya utaifa hii ni ili kupata taarifa muhimu za kila mtanzania kuanzia...
Get Logo,Banner, Letter head,proforma invoice ,delivery note,Tax invoice, and many more different designs for only Tshs 20,000/= per each in a bundle of 10 up to 20 artworks, your most welcome NB;For those who will purchase a complete bundle they will have a free seminar on how to make them...
Karibu Legacy Impresion Company ujipatie logo ( nembo) kwa bei nafuu kabisa na haraka, kuna nembo ambazo tayari zimesha dizainiwa za aina tofauti tofauti, kulingana na tofauti za biashara unachotakiwa ni kuchagua na kuchukua kuifanya yako, bei zetu ni nafuu kabisa kila Logo ina thamani ya...
Legacy Impresion Company tunatoa huduma ya kuuza vifaa vya steshenari kwa bei nafuu hasa kwa steshenari za maofisini,kwa sasa tunatoa huduma ya kufikisha hadi ofisini kwako kwa wateja walioko maeneno ya wilaya ya Kinondoni, unachotakiwa kufanya ni kupiga simu au kutuma email ya oda ya vitu...
Karibu ujipatie logo ( nembo) kwa bei nafuu kabisa na haraka, kuna nembo ambazo tayari zimesha dizainiwa za aina tofauti tofauti, unachotakiwa ni kuchagua na kuchukua kuifanya yako, bei zetu ni nafuu kabisa kila Logo ina thamani ya Tshs 50,000/= karibu sana kwa mawasiliano 0713 603 699 au tuma...
Wanahitajika watu watatu wa kufanya marketing ya kampuni ( Sio ya kutembeza vyombo) malipo ni kwa Kamisheni kwa kipindi cha miezi mitatu ndipo utaanza kulipwa mshahara,vigezo uwe na uwezo mzuri wa kuongea kiingereza na uzoefu wa kazi hiyo ni tuma cv yako kwenda (aplication244@gmail.com) cv...
Karibu Legacy Impresion Company,Ofisi ipo kijitonyama mkabala na kanisa KKKT,ofisi inahusika na kufanya shughuli za Graphic Design,Printing,Webtech na Stationeries.
Tuliamua kujumuisha vyote hivyo katika ofisi moja ili kukidhi haja za mteja bila kubisha hodi katika milango mingi,Kwa upande wa...
Glad to contact you, please give me some 2 minutes to introduce our new offer, that suites you and your business in order to establish a good business relationship thanks.
First of all our company called Legacy Impresion Company established two years ago to run in Graphic design...
Wanahitajika watu wa masoko watatu,Mkoa ni Dar es salaam,Kazi yao kubwa itakuwa ni kutafuta wateja na kufanikisha mipango na malengo ya kampuni,uzoefu haijalishi sana hata fresh from graduate,elimu kuanzia kidato cha 4 na awe na uwezo wa kuongea na kuandika vizuri lugha ya bashara ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.