echuma
JF-Expert Member
- May 20, 2010
- 311
- 80
Karibu Legacy Impresion Company,Ofisi ipo kijitonyama mkabala na kanisa KKKT,ofisi inahusika na kufanya shughuli za Graphic Design,Printing,Webtech na Stationeries.
Tuliamua kujumuisha vyote hivyo katika ofisi moja ili kukidhi haja za mteja bila kubisha hodi katika milango mingi,Kwa upande wa
Graphic tunafanya visual still image za aina zote 4 (logo,posters,bzcards,fliers n.k)
kwa upande wa Printing tunafanya zote kubwa na ndogo kwa kushirikiana na makampuni wenza kwa upande wa print kubwa ambayo mashine zetu haziwezi kufanya.
Steshenari tunahudumia zaidi maofisi hivyo kwa upande wa steshenari zaidi tunazo za maofisini.
Mchanganyiko huu ukiutumia kwa pamoja unaleta unafuu kwako mwenye ofisi na upatikanaji wetu ni rahisi na iwapo utakuwa mteja tutakuletea hadi mlangoni kwako.
Bei zetu ni nafuu ukilinganisha na huduma,ufanisi na uwezo wa kufanya kazi kwa muda,karibu sasa
Kwa uhakika zaidi unaweza Kupiga simu Simu:0713603699 au email: info@legacytz.com
Karibu sana
Legacy"Namba moja mjini"
Tuliamua kujumuisha vyote hivyo katika ofisi moja ili kukidhi haja za mteja bila kubisha hodi katika milango mingi,Kwa upande wa
Graphic tunafanya visual still image za aina zote 4 (logo,posters,bzcards,fliers n.k)
kwa upande wa Printing tunafanya zote kubwa na ndogo kwa kushirikiana na makampuni wenza kwa upande wa print kubwa ambayo mashine zetu haziwezi kufanya.
Steshenari tunahudumia zaidi maofisi hivyo kwa upande wa steshenari zaidi tunazo za maofisini.
Mchanganyiko huu ukiutumia kwa pamoja unaleta unafuu kwako mwenye ofisi na upatikanaji wetu ni rahisi na iwapo utakuwa mteja tutakuletea hadi mlangoni kwako.
Bei zetu ni nafuu ukilinganisha na huduma,ufanisi na uwezo wa kufanya kazi kwa muda,karibu sasa
Kwa uhakika zaidi unaweza Kupiga simu Simu:0713603699 au email: info@legacytz.com
Karibu sana
Legacy"Namba moja mjini"