Hawa jamaa hizi EV wangesi samehe..ili wadau wachukue......
Sema mambo ni mengi ili tuwe comfortable na jutumia EV
-umeme Wa uhakika(Tanesco na wadau wengine)
-makampuni ya bettery...sisi tutanunua used EV ,battery degradation will eat us alive
-incentives kwa owners....Kodi kidogo,spare sisiwe...
Propaganda za west zinawafanya Chinese waonekane ni threat ....Sasa kwanini ukatalii nchi ambayo watu nanakuona adui?
Lakini pia slow down ya uchumi wa china....mamaake jamaa uawana mihela au wanahofia kuyokuwa na hela siku za usoni so wanasave😆
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.