Sa we ukivamiwa unawaita polisi wanini?hata mi siwapendi asilani kwa tabia zao,hayajakukuta wewe au pengine ndio hao hao.badilikeni na mjue yako maisha baada ya upolisi
Huyu jamaa hata mi nimeona ni kilaza kama yulee aliyeulizwa kama lisu na dereva wake wangekufa angeulizwa nani?akakosa majibu badala yake akapaniki,njaa hz,ila tukumbuke kuna maisha baada ya haya ya duniani
Idara ya uhamiaji na waziri husika mtuonee huruma hasa sisi madereva wa maroli ya kwenda nje ya nchi,tumekimbia makambako tukaona nafuu iko hapa kupata hz paspoti za mda lkn sasa nanyi mnaboa.mnashindwa hata kununua jenereta?pesa zote hz.na mengine madudu yote lkn mjali basi na mda wetu.japo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.