Hali ikiendelea kwa speed ambayo inaendelea na hizi tuhuma nzito ambazo zingine zilishawahi kutolewa dhidi ya Sheikh Mkuu wa BAKWATA wa Mkoa wa Dar, then sioni kwa nini Paul Makonda's favourite sheikh abaki ndani ya ya NGO ya BAKWATA.
Miaka michache iliyopita tuhuma dhidi ya Alhadi Mussa...
Hali ikiendelea kwa speed ambayo inaendelea na hizi tuhuma nzito ambazo zingine zilishawahi kutolewa dhidi ya Sheikh Mkuu wa BAKWATA wa Mkoa wa Dar, then sioni kwa nini Paul Makonda's favourite sheikh abaki ndani ya ya NGO ya BAKWATA.
Miaka michache iliyopita tuhuma dhidi ya Alhadi Mussa...
Dodoma is probably one of the most depressing places on Earth at the moment. The only people in a good mood are swivel-eyed with access to Lithuli and fever-brained mates of Dar es Salaam RC. Everybody else is miserable: frustrated by the intellectual vacuum at the heart of the government and...
Hapa siongelei kilimo cha eka mbili tatu hapa nazungumzia kilimo cha kufa mtu kama wanavyofanya USA, Australia na nchi zinginezo
Swali Kwa nini wafanya biashara wakubwa kama akina Mohammed Enterprises na Bakhressa hawakujikita vilivyo kwenye kilimo hichi ?
Mo Enterprises naona wao ni wanunuzi...
Nina jamaa wanataka kuja kujenga chuo kikuu kikubwa kama vile UD or something similar
Je upatikanaji wa ardhi ukoje? Je serikali au wilaya zinaweza zikawa na ardhi ambazo zimetengwa kwa jili hii?
Je ardhi itabidi kununua au serikali ilishatenga maeneo kwa ajili hiyo (land banks) kwenye kila...
Hivi kuna mtu anajua gharama za kujenga barabra Tanzania kwa kila kilometa moja?
Naomba figures in Dollars
tuseme barabara ni tambarare na kama kutakuwa na jidiraja bas ni viduchu tuuu
na barabara ni kilometa 50
Nina tenda ya kusupply cementi kwenda nchi jirani
sasa sijakubali kitu na hawa jamaa mpaka nifanye research yangu
je bei za cement brand gani ni nzuri na ina bei ya afadhali hapa Tanzania
Je process ya kupata uwakala au u superdealership ukoje na masharti yake je?
Je ipi bora kati ya kununua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.