"Aoae mwanamke mwenye mtoto na hana akili"
Da'vinci' 2024.
[emoji1540]Wajukuu zetu watakuwa wanakusoma kwenye somo la sosholojia miaka ya 3024 huko kama mhenga wa miaka hiyo. [emoji23][emoji23][emoji23]
Nendeni sasa au kondoo hawapatikani? Bebeni hata nguruwe muende nao mtaongea na mizimu tu itawaelewa.
Na hawa wazee kwann wanapenda kuendekeza mikataba ya siri na mamizimu yao huko maporini? Aaaaagh
Acha mizaha na utoto wewe, unadhani hapa tupo kwenye mchezo na mizaha? Watu wanajadili mambo ya msingi unaleta utani utadhani kila sehemu ni sehemu ya utani.
Hii program ni nzuri sana kuwasaidia watoto kupata malezi ya familia na kuwa na nyumbani kwao. Hakuna kitu kibaya kama mtoto kukua akiwa hajui kwao ni wapi, hajui nani wa kumwita baba nani wa kumwita mama.
Pongezi sana kwako na kwa wizara kwa kulitambua hili mheshimiwa waziri.
Naomba kuongezea...
Wewe ni mwanamke au mwanaume maana hata hauna adabu unakuja kuomba ushauri bila kujitambulisha.
Maswala ya condom huwa yanashauriwa kulingana na jinsia husika.
Ukishaonyesha kuwa unahamu sana ya kitu fulani na haupumui bila kukipata unadhani yule anachokimiliki atakuacha salama?
Kipotezee uone atakavyobembeleza akuonjeshe.
Watu wanajikuta wanaishi kwa bajeti sana siku hizi kiasi kwamba ubinafsi unawavaa wanasahau kuwa mwenye shida akikuomba na unachokidogo cha kutoa basi usianze visingizio. Toa itajulikana mbele. Leo umenipiga tafu 10,000 kesho utanikuta mazingira ya kukusaidia milioni.
Ila kwasababu watu...
Mwanaume akiwa anapesa za mawazo au hana pesa mwanamke akiskia mume wake anajihusisha na mwanamke mwingine utasikia mke anasema "Mume wangu ananisaliti na wanawake huko nje"
Ila mwanaume akiwa na pesa zake na mali za kutosha mwanamke wake utasikia anasema, "Wanawake huko nje wanataka kuniibia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.