Samcezar
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 13,096
- 22,628
Mwanaume akiwa anapesa za mawazo au hana pesa mwanamke akiskia mume wake anajihusisha na mwanamke mwingine utasikia mke anasema "Mume wangu ananisaliti na wanawake huko nje"
Ila mwanaume akiwa na pesa zake na mali za kutosha mwanamke wake utasikia anasema, "Wanawake huko nje wanataka kuniibia mume wangu"
Kuwa makini sana na lugha za wanawake wanapokuwa wanasema jambo huwa ujumbe ni kinyume chake.
Ila mwanaume akiwa na pesa zake na mali za kutosha mwanamke wake utasikia anasema, "Wanawake huko nje wanataka kuniibia mume wangu"
Kuwa makini sana na lugha za wanawake wanapokuwa wanasema jambo huwa ujumbe ni kinyume chake.