ALIWAHI KUMWAMBIA Ban Ki Moon Aende akawaambie hao watu wenye Pua nyeupe Afrika hatutaki Ushoga , na ukamwambie Obama kuwa kama anataka kuruhusu Ushoga bas acha mimi niwe wa kwanza kumwoa yeye" jamaa anajeuri sana aseee
Duuu hii inatoa Funzo kwa Viongozi wengine wa Kiafrika ambao wakishapata Madaraka hawataki Kung'atuka na wakitaka Kung'atuka wanataka Kufanya ikulu Kuwa za Familia zao...... Mugabe alisaidia sana Afrika na Zimbabwe kwa Ujumla ila uroho wake wa madaraka umempeleka pabaya ... ilifikia sehemu...
Jana majira ya saa mbili usiku dereva wa mbunge Mh. John Heche anayejulikana kwa jina la SUEZ DANIEL MARADUFU alivamiwa na watu wasiojulikana na kushambuliwa kwa kukatwa katwa na mapanga kichwani na hali yake si nzuri, anaendelea na matibabu kwenye hospitali ya Bomani Tarime.
Ofisi ya Mbunge...
BAADA YA KUSOMA MAKALA HII NA KUPENDEZWA NAYO NIMEONA NI KOPI NA KUILETA KWENU NANYI MUISOME .
MWANDISHI NI .
Ahmed Rajab
.........................................................................................................................................
VIROJA vya...
mbona katiba ya cdm inaeleza ukomo wa kiongozi ndani ya chama ni miaka mitano 5 lakini inatoa uhuru na haki ya mwanachama kugombea tena nafasi hiyo atakapomaliza mhula wake wa uongozi
duu serikali ya kusadikika , eti leo katika serikali ya kusadikika rc ana mamlaka ya kumzuia waziri asifanye jambo ?
kupata vichekesho kama hivi tuma nano UKUKU kwenda 1556;);););):D:D:D:D
hakuna barua ya serikli ya mtaa itahitajika pale utakapotaka kujidhamini mwenyewe , kitakachofanika ni kwamba kuna fomu maalumi utapatiwa kwaajilil ya kuijaza , baada ya kuijaza watakupadhamana
exactly , pia sisi raia tukiwa tunawashinikiza polisi kutupa haki zetu tunapofika sehemu ya kuzidai kama kutaka kuweka dhamana italeta chachu ya wao kutaka kuzifahamu
unaaswa kumripoti kwa mkuu wake wa kitu na kama mkuu wake wa kituo ukahisi au asipochukua hatua yoyote unaweza fikisha taarifa zako kwa taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa
Dhamana ni Haki na Siyo Upendeleo
Kwa kuwa dhamana ni haki ya mtu, hivyo anapoomba hapaswi kukataliwa bila sababu za msingi. Mahakamani na wanaharakati wa haki za binadamu wamesisitiza mara nyingi kuwa dhamana ni haki ya mshitakiwa pale anapotimiza masharti...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.