Wakuu habarini za mida na pia poleni na mishe mishe za hapa na pale katika harakati za kulijenga Taifa letu.
Bila ya kupoteza muda, naomba mwenye uzoefu au ufahamu wa ni kiasi gani cha pesa "za kitanzania" zinahitajika kupata gari za mashindano yaani Rally Sports Car.
Aina yoyote ya gari iwe...
Kwa wale wapenzi wa game za mortal combat hii inawahusu sana. Ninatafuta game ya Project IGI 3 na 4, pia nahitaji game ya call of duty.
Mwenye nazo tafadhali tuwasiliane.
Mshambualiaji hatari wa Taifa Stars na mchezaji wa zamani wa Simba na TP Mazembe ambaye kwa sasa anakipiga kwenye club ya KRC Genk ya huko Belgium inayoshiriki ligi kuu ya huko ijulikanayo kama Pro league.
Jana 21 august Genk ilicheza mechi yake ya 4 tangu msimu huu uanze na walicheza wakiwa...
Wakuu habari za majukumu.
Bila ya kuchelewa wala nini,naomba tujikite kwenye mada hapo juu.
Harrier yenye specs zifuatazo inahitajika
1: colour "black or silver"
2: transimission "auto"
3: cc "angalau 2130"
4: mileage "isizidi 100,000"
5:Right hand
6: isiwe imewahi kupata ajali
more info...
Wakuu mi ni mgeni humu jamvini naombeni sana mnipokee.. Ninaahidi kutimiza yote yanayopaswa kutimizwa humu jf ili niepuke vitu kama ban au kukwaruzana na members wenzangu with no good reason..pia naomba kuelekezwa tunaishije humu ndani? Je kuna donation yoyote to make the forum alive...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.