Ni takribani siku Nne sasa toka taarifa zizagae hasa katka mitandao ya kijami,i kuhusu ujumbe na Neno alilotoa Askofu Mkuu wa kanisa la Full Gospel Bible Fellowship Z.Kakobe, kwa vyama vya upinzani hususani chama kikuu cha upinzani kwa sasa CHADEMA juu ya kauli za viongozi wake mbalimbali...
Jina tu linasadifu yaliyomo bado unahangaika nae, yeye naye yuko kwenye lile group la fx is not for everyone akiwemo sasa unategemea atakuelewa huyo mkuu
Mkuu hiyo bznes watu wameanza mwishon mwa mwaka jana tu leo hii wajenge? Imekuwa ni kuchota hela et? Hakuna bznes ya hivyo ile bznes ukiitazama kwa haraka unawezafikiri ni nyepesi lkn ingia kuifanya ndo utajua ugumu wake hasa ukiwa na ka acc ka dola 100 ndo itakuwa unachoka tu
Salaam wadau namshukuru Mungu nimekua mmoja wa waliochaguliwa kujiunga na Law school kwa mwaka wa masomo wa 2018 lakin nina shida moja ya intake, niko intake ya June kama kuna mtu aliyechaguliwa january na angependa kuingia June tubadilishane na tuwasiliane tafadhali
Shukran
Acha kuongea upupu wewe, una ushahidi gan wewe kuwa Ontorio kawakimbia raia? Fanya research uje na majibu ya uhakika sio unakurupuka na dhahania, uvivu wenu wa kuchunguza ndio maana mkiambiwa vichwa vya train vinaokotwa bandarin mnashangilia. Taifa kuwa na vijana kama nyinyi hasara sana.
Labda niseme hivi kwa mtu aliyesoma sheria mwenye talent ya kutangaza maana imejua kama nimekosea sana. Wasiwasi wenu ni nini una sifa nitafte huna pole
Si wanasheria wote wanauwezo wa kutangaza niliposema sifa hizo namaana yangu jaman sasa kama tangazo halikufai basi talent does not mean your uneducated guys tusichanganye hilo
Mkuu tafadhari kama huitaji acha sikulazimishi swala la mimi kuoa linakuja vipi hapo kama mnawaza habari za mahusiano hapa mtachelewa sana kuendelea tuweni na mtazamo chanya, basi mje na boyfriend/girlfriend wako kama unahisi kuibiwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.