Uhshauri wa bure Huba wamtafute UMUGHAKA wayajenge nae wakiendeleze kipande Cha JB huwenda kikawa Cha kusisimua Zaidi..kuliko kimuacha vile alivyo atamaliza kuku wa jamaa pale kijijini [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hii hapa ina
1.master bedroom
2.jiko
3.sitting room
4.mfumo kamili wa maji
5.mfumo wa umeme
6.plaster nje na ndani
7.gypsum
8.rough floor ya zege
ImeCost 7.5M
NB:.tiles na rangi vyote vimenunuliwa na fedha hyohyo, najikongoja nimlipe fundi afanye finishing.
Supu ya mawe
Sio mwajuma,. Rafikiake sana Shukuru,. Miaka ya 2000 alikuwa anaishi kwa mtogole.
Aliwahi kuwa kiburudisho cha Peacock wa (kikongwe) enzi hizoo Peacock anaishi Tandale TANESCO.
Supu ya mawe
Nimeitambua sauti ya mchukua Video [emoji329]. Ni
mdada wakiswazi anaishi Kijitonyama kwa Ally Azizi.
Jina. Mwa***.
Umri 28-29
Mrefu
Chocolate colour sasahv kapauka sanaaa
Amezaa watoto 2-3
Anakunywa Pombe
Company yake punga moja linaitwa Shukuru(Local Hairdresser [emoji139] na makeup...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.