Habari wakurungwa wa Jamii Formu.
Nakumbuka nilipokuwa mdogo yapata kama mtoto wa darasa la tatu hivi, siku moja nilikuwa na mzee wangu akaniambia jitahidi sana kusoma kwani elimu yako ndio ufunguo wa maisha yako.
Kwa kweli sipingani na ushauri wa mzee maana miaka ile ya 2000 mwanzoni...
Habari za majukumu wana Jf.
Nimeona nitumie muda wangu kuandika hii nyuzi kusisitizia juu ya umuhimu wa Paypal kwa maisha yetu watanzania.
Kwa sasa Tanzania tunaweza kutuma pesa tuu hatuwezi kupokea pesa kwenye Paypal account zetu. Hii ni changamoto kubwa hasa kwa vijana wasiokuwa na ajira...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.