Source ya maandamano huku kwetu Tanzania ni nini hasa? Sisi tunajielewa wewe unayehitaji maandamano kaalike familia yako uandamane nayo lakini pia ujiandae kushitakiwa kwa maandamano hayo maana ni ujinga.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo ni jambo jema maana ni njia moja wapo ya kupunguza matumizi na hizo bilioni 122 kila baada ya miaka 5 itasaidia kuongeza maendeleo.
Hii ni serikali makini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hebu fikiria unampeleka mama mjamzito hospitali usiku wa saa nane halafu unaambiwa ununue gloves 5 kila moja sh. 2000 na bomba za sindano 3 kila moja sh. 200.
Sasa utaratibu huu ndo unaotumika kila hospitali ama ni kwa baadhi ya hospitali maana hapa sijaelewa. Halafu usiku huo wa saa 8 ukute...
Ni kweli kabisa usemayo maana CHADEMA na CUF ni vyama viwili tofauti japo wako katika muungano maana kila Chama kina viongozi wake katika ngazi zote sasa iweje Chadema ndo wawe wasemaji wakuu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Petrol station zote ambazo hazina mashine za kutoa risiti za TRA zimefungwa. Vyombo vya moto vingi vimekwama kufanya biashara kwa kukoswa mafuta. Kwingineko vipi jamani.
Sent from my TECNO-Y4 using JamiiForums mobile app
Mke alimuaga mumewe anaenda kumsalimia mama yake mgonjwa kijijini. Akaondoka Ijumaa na kurudi Jumatatu na matunda kibao na vyakula vingine toka kijijini akisema ni mama kanipa kwa ajili yako mume wangu na watoto, mume akamuuliza kwa upole mama anaendeleaje? Mke akajibu amempeleka hospitali ila...
NEWS ALERT!
Mwenyekiti wa Chama Cha Waendesha Pikipiki maarufu kama bodaboda manispaa ya Shinyanga Jacob Paul (36) amejiua kwa kujinyonga kwa kutumia waya wa simu chumbani kwake katika mtaa wa Mwinamila kata ya Ngokolo katika manispaa ya Shinyanga.
Tukio hilo limetokea leo Jumamosi June 10,2017...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.