Katokea swahiba yangu kazini, kanipa kisa kimetokea mtaani kwao. Moto mkubwa sana ulitokea mwendo wa masaa ya manane usiku...katika patashika mtaani, ilikuwa mguu niponye, moshi na kiza kutanda kila mtu mbio huku na kule.
Rafiki yangu anambia, hajawahi kuona balaa na vituko kama alivyo ona...
Showstopper... ni wale warembo ambao, wakipita barabarani waaacha waume domo zege, waume lazima wapinde shingo. Mwenyezi mungu kawaumba kwa MAKINI zaidi, nao wanajua, huongezea madaha. Warembo dizaini hii ni hatari sana sana!!!.
Napenda kutoa kisa kilinipata na pia ni ushauri kwa kina kaka...
Nina rafiki yangu, yuko majuu kutafuta riziki, kaacha mke Bongo, jamaa ataka kila mara akimpigia simu mkewe, aambiwe kila kitu na mkewe, katongozwa, kachokozwa na watu na kila udaku mtaani. Mke hapendi na kanishtakia kwangu, mimi nikamuuliza swahiba, vipi haya mambo, utakuja zirai ama upate...
Ndugu wanajamvi, napenda kuwashindikiza kwenye wikiendi na maombi ninayo oomba kila kuchao!!!!"Ewe Mwenyezi Mungu niepushe na Mali nyingi", kwanini nasema hivi, kwa sasa kipato changu nashkuru si cha juu na sio chini, napata mahitaji yangu na familia, lakini kwa muelekeo ni navyoona kwenye...
Nina Rafiki yangu tumejuana kitambo, kwa sasa ni zaidi ya ndugu. Ni mtu mzima amenizidi ki-umri. Bwana huyu amekua mgonjwa wa Figo kwa muda zaidi ya miaka Minne sasa. Ka talaka mke wake wa kwanza, na ana watoto watu wazima. Kaoa tena kama miaka mitatu iliopita, mama mmoja ambae aliachwa pia...
Nimeshuka wanajamvi baada ya kukaa manyasini nikichungulia chungulia jamvi. Nimejaribu kujiuliza bila ya kupata jibu, hivi katika karne hii bado kuna mababa wanapiga wake zao!!.
Imenitokea mimi mwenyewe binafsi, ikabidi nihame nyumba, sababu jirani alikuwa na tabia mbaya ya kutwanga mke...
Sabalkheir wangwana, ishafika tena ule mwezi wa mashamramra ya KUO au KUOLEWA. Nimeangalia hapa jamvini, nimengoja kualikwa lakini hamna!!, ama kila mtu ashafunga na kufungwa??????.
Mimi nikisoma Threads zingine humu, jamaa hawaja kamatana, ama jamaa ikifika wakati, anafanya kimya kimya ...
A lady on Honeymoon, calls back home and get the father on phone " Daddy!, where is mum...(Sobbing)..How come nobody told me my Husband has one foot?", Daddy is confused, "What do you mean he has one foot? (Confused)... Calls the mother...." Honey! come and talk to your daughter, I dont...
Wanajamvi, Hube Someni;
Im a Recovering Sex Addict
Jennifer (not her real name), 36, lives in Miami. Although shes never touched drugs or alcohol, she has an addiction all the samesex addiction. Although not an official psychiatric diagnosis, Jennifers sex addiction has caused her tremendous...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.