Wakuu habari zenu, naomba mwenye licence key, product nunber na validation number kwa ajili ya QuickBook Premier 2018, au sehemu yoyote ambayo naweza kupata software yake. natanguliza shukrana
Habari gani wakuu, za majukumu?
Natumai ni wazima wa afya, naishi Zanzibar naomba kuelimishwa vipi nitaweza kufanya biashara ya vyombo vilivyotumika, nataka kuagizia moja kwa moja kutoka nje ya nchi.
Natanguliza shukrani.
Habari zenu wadau, mimi nataka kuuliza, hivi ugonjwa wa corona asili yake ni nini? Dalili zake na unasambaa kwa njia gani na vipi tunaweza kujiepusha nao. Na ukiupata je ufanye nini? Natanguliza shukrani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Natumai ni wazima,
leo nakuja na swali nataka nijibiwe maana huku kwetu nimeona sana huduma hii nataka nitumie ila nasita kiukweli maana sijui ubora wake. Ni nini faida na hasara ya Liquid Screen Protector za simu?
Natanguliza shukran
Sent using Jamii Forums mobile app
soma vizuri mada yangu kwa sababu hizi si nokia za tochi ukasema mambo nirahisi rahisi tu. kwani uliambiwa anatumia line zile zile nilisema anatumia line yake. nina uwezo mpaka wakuiroot simu.
hayajakukuta ndio maana unasema ivo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.