Hoja nzuri, lakini Kiepe Yai kwa mtiririko wa post zako inaonyesha upo kinyume na hoja hii, yani wewe ndio unataka vimini vviendelee kupandishwa juu zaidi
Toka niga J wa chemsha bongo, hadi yule Prof J, wa bongo dar es salaam, Ndio mzee, Salamu Bibi na Babu,Jina langu, Tathimini, Niamini,Machozoi jasho na Damu, akaja yule, Sio mzee, Msinitenge.....Huyu jamaa anafaa kuwa namba moja wengine waanzie namba 3.
Kabla ya ujio wa hawa jamaa, ilikuwa kila mwenye uwezo na kipaji lazima atasikika na kutusua. Yaani msanii akiwa na uwezo lazima atapenya tu, Redio zote zilikuwa zikitenda haki.
Sasa ujio wa hawa jamaa (Mamenejaa), mbali na mambo mengine, mimi naona sasa hivi ndio wanaamua nani atoke nani...
Tupo wengi tunaomkubali sema gemu gumu vipaji sio tena dili, dili ni kuwa na connection.....Jamaa anakomaa na gemu kuna wimbo mpya wa Kala jeremia ameimba kiitikio....wewe jiulize hivi Nuh Mziwanda anaimba nini hadi apate shows na air time ya kutosha?
Tukiwa chuoni,mwaka 2012 kijana mmoja kutoka Songea aliwahi kusema kuwa Nchimbi nae anautaka, Wengi tulichukulia kawaida lakini sasa naanza kuona jamaa anaweza kupenya. nakupeperusha bendera ya CCM mwaka huu.Tafadhali kama kuna mtu amamfahamu vizuri huyu jamaa hebu atujuze.
Si dhani kama kuna dini inafanya hivi....bali ni watu ndio wanafanya hivi...ila sasa reaction ya dungu zetu huwa inakwenda kwenye dini fulani...hebu waje waseme hapa wanafundishwaga nini huko madrasa
Duh hehhehehe wewe kweli noma..ila unaonekana unaogopa sana kugongewa....umesahau kuwa hata kama haja zaa anaweza kuwa na mtu wake ambae anaweza kumgegeda muda wowote?...
Mwigamba mbishi sana......Hivi huyu jamaa kabla ya siasa alikuwa anafanya kazi gani?
Makamu Mwenyekiti wa ACT-Tanzania ,Bara ,Shabani Mambo Akizungumza katika kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama hicho kilichofanyika leo katika...
Niki mbishi kamwaga manyanga, Kina ferouz na daz baba hali mbaya,Juma nature nae mitungi tuuu!!! sasa huyu nae alietamba na nyimbo kali kama ANITA, ndio amefika hapa!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.