Ndugu wana JF,naomba kuuliza kwa anayefahamu hili au kama kuna wahusika humu waweze kutufahamisha mimi na pengine wenzangu wasio fahamu hili.Hivi unapofungiwa umeme na TANESCO kwenye gharama za malipo mashine ya LUKU unatakiwa ulipe tofauti au,nauliza hivi kwani ilitokea ndugu yangu alifungiwa...
TaX? Kila kukicha watanzania tunazidi kuona mapya ya kutugandamiza tu,Leo nimeona mahali pameandikwa witholding Tax baada ya kampuni kufanyiwa malipo na kwenye kiasi ambacho kilitakiwa kilipwe wamekatwa asilimia 5 na pameandikwa ni WITHHOLDING TAX,kweli sijawahi kuona na hata sielewi maana...
Wadau wa Jf muhali gani,habari za humu jamvini,Kuna suala ambalo kwa kweli TBC wamelifanya nadhani si la kiungwana ,Kuna mashindano ya mpira wa Kikapu yanayoendelea mkoani Tanga,yalianza tangu tarehe 29/oct na yatamalizika Nov 5.Nasema ni wezi kwa sababu walisema wangeonyesha michezo hii...
Kwema wana JF,
Hivi hawa wamiliki wa huu mtandao wa simu wana undugu na serikali yetu au? wana matatizo na ni wezi na hata tunapolalamika hawachukuliwi sheria yoyote na mamlaka husika. Jana niliweka salio kwenye simu yangu cha kustaajabisha nilipomaliza kuweka salio na mesegi ikaja kwamba...
Wadau habari za muda na poleni kwa majukumu,
Naulizia mwenye kujua zinapoweza kupatikana taa ya mbele ya kushoto ya Toyota starlet model ya carat ikiwa full pamoja na indicator yake.Tafadhali mwenye kujua zinapopatikana au mwenye nayo anifahamishe. ani PM au
0717-128448
Natafuta nyumba ya kupanga maeneo ya sinza,mwenge,sayansi.k'nyama,victoria ,morroco,
mahitaji: iwe na room 2 ,possible 1 iwe master,
sebule
jiko
Bei Kuanzia 150-200.
yoyote mwenye kujua ama anayo ani PM or 0717-128448
0755167768
Wadau kuna ishu ya shoo ya uzinduzi wa Album ya Ant -virus na shoo nyingine pale mitaa ya Leaders, hii imekaaje maanake nimesoma kwenye mtandao na kusikia kwa baadhi ya vyombo vya habari kwamba shoo ya nani ilikua ya kwanza kupangwa.
Kuna wanaosema shoo ya leaders ndio ya kwanza wengine ya...
Wana JF,sijui kama kuna mmoja wenu ameshapatwa na hili,kwa kweli huduma zetu za mtandao wa TIGO siku hizi haziridhishi kabisa,mtu unapiga simu una shida ,cha kwanza simu haipokeliwi kuna number flani ya 0173800800 wanakwambia kabisa kila simu unakatwa sh 50 cha ajabu simu inaita zaidi ya dk 5...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.