Usilku wa ulaya Mei 21, 2008 pale Luzhniki stadium, Moscow
Fainali UCL
Man utd v Chelsea
Dk 26 Cr7 anaiandikia utd bao la kuongoza
Dk 45 Lampard anasawazisha
Ngoma inaisha 1-1
Game inaenda matuta
CR7 anakosa penalty, matumaini kwa united kubeba ndoo yanakwisha,
Mpira na maajabu yake...
Suzana
Nakuona Paris
Hapo kando ya champs-élysées
Ukitesa na kamini yeah, ye-yeah, yeah, yeah
None of my business
And I see you in London
Silicon on your bum bum
Shaking what your doctor gave you
On your worst behavior, Suzanna bhane
Senje halo, halo, halo (halo, halo, halo)
If you get to...
Arusha
Kilimanjaro
Da es Salaam
Dodoma
Morogoro
Iringa
Mbeya
Njombe
Kumbukumbu za Njombe zimegoma kabisa kufutika kichwani, nilipenda mandhari ya Njombe, miaka 6 sasa imepita tangu nitoke huko
Aisee nikipata muda, njombe nitapatembelea
Mwanzo 22:1
Baada ya muda fulani, Mungu alimjaribu Abrahamu. Mungu alimwita, “Abrahamu!” Naye akaitika, “Naam nasikiliza.” Mungu akamwambia, “Mchukue mwanao, Isaka, mwanao wa pekee umpendaye, uende mpaka nchi ya Moria, ukamtoe sadaka ya kuteketezwa juu ya mlima mmojawapo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.