Habari wakuu eti Wenye kufahamu huu mchongo ulipoishia au waliajiri kimya kimys?
Kumb. Na. CDC/05/20/89
Halmashauri ya wilaya ya Chato kupitia shirika la MDH Inawatangazia nafasi za kazi ya mkataba kwa watumishi wapatao 10 ambao watafanya kazi ya Clinical Trackers. Mkurugenzi Mtendaji wa...
Mileage 130000
Cc 1290
Old model 2004
Vibali vyote vimelipiwa... Gari iko katika hali nzuri.
Kwa mawasiliano piga/whats app 0763434194
Bei ni 5,200,000/=
habari jf.....kuna link iliwekwa hapa ya ajira nikakuta post za hili shirika linaitwa good neighbors....hivyo nimeitwa interview wiki ijayo.....mwenye kulijua shirika hili vizuri.....interview zao zikoje....wat abt package zao kwa mwezi na mazingira ya kazi yako vip
asante
Niko Mwanza hapa huyu jamaa kafunga barabara as if Obama ndo amekuja Mwanza, yuko viwanja vya Mbugani sasa watu wamefurika hatari.
Najua wapo walio Mwanza wataleta picha na nini alikizungumza coz mimi nilikuwa napita tu na mishe zangu.
Habari...tunahitaji vijana tajwa hapo juu
SIFA: DIPLOMA AU DEGREE ya clearing and forwading
EXPERIENCE:1-2 YRS
Kwa mawasiliano zaidi piga simu namba xxxxxxx
asanteni watu wameshapatikana...wasipomeet vigezo nitawataarifu tena
Habari JamiiForums
Natafuta dalali atakayeweza nitafutia chumba iwe master bedroom au chumba na sebule(self)...iwe ndani ya wilaya ya Nyamagana/Ilemela.
Namba yangu ni 0763434194
Habari JamiiForums,
Natafuta dalali atakayeweza nitafutia chumba iwe master bedroom au chumba na sebule(self). Iwe ndani ya wilaya ya Nyamagana/ilemela
Namba yangu ni 0763434194
habari JF.....
Tunauza kamba za mkonge
zinazozalishwa na METL
morogoro pamoja na magunia
maalumu kwa ajili ya kupakia
kahawa.
Kama ya mkonge mita 100
piece 10 kwa sh 15000
mita 200: piece 10 kwa sh
30000
na mita 1000 piece 2 kwa sh
30000
Gunia moja la nchi 41.5 kwa sh
3800 kila moja...
Habari JF,
Tunauza kamba za mkonge zinazozalishwa na METL morogoro pamoja na magunia maalumu kwa ajili ya kupakia kahawa;
Kamba ya Mkonge mita 100: Piece 10 kwa sh. 15000
mita 200: Piece 10 kwa sh. 30000
na mita 1000: Piece 2 kwa sh. 30000
Gunia moja la nchi 41.5 kwa sh. 3800 kila moja
Piga...
Habari Jamii Forums.nauza simu tajwa hapo juu kwa bei nafuu kabisa:
GOWIN M7=150000 na imetumika kwa mda wa mwezi mmoja tu.SAMSUNG NOTE3=220000 imetumika kwa muda wa wiki
moja tu.
Kwa mawasiliano zaidi piga.
simu ifuatayo;
0655612122
Habari Jamii Forums nauza simu tajwa hapo juu kwa bei nafuu kabisa,GOWIN M7=150000 na imetumika kwa mda wa mwezimmoja tu.SAMSUNG NOTE3=220000 imetumika kwa mda wa wiki moja tu.
Kwa mawasiliano zaidi piga
simu ifuatayo;
0655612122
habari JF....nauza simu tajwa hapo juu kwa bei nafuu kabisa:
GOWIN M7=150000 na imetumika kwa mda wa mwezi mmoja tu.
SAMSUNG NOTE3=220000 imetumika kwa mda wa wiki moja tu.
Kwa mawasiliano zaidi piga simu ifuatayo;
0655612122
habari zenu wapendwa....mwaka jana mwezi wa 11 kwenye tar 28 lilitoka tangazo la zonal sales officer ambalo watu wengi inaonekana walilipuuzia...mimi nilimtafuta huyo mtoa post then akanipa email nitume cv yangu..nikaitwa interview na ilikuwa mkoani waligharamia nauli yangu ya kwenda huko na...
Nimecopy na kupaste jaman..kazi kwako
Company > Gili
Secondary School
Location > Kibaha
Position Type > Full Time
Organization Type >
Company
Position Description
A FULL TIME
MATHEMATICS TEACHER
TO BE ABLE TO WORK AT
KIBAHA DISTRICT.
Application Instructions.
Contact us
+255 (0)...
Habari ndugu...mnamo mwaka jana mwezi wa kumi niliapply kazi za halmashauri ya wilaya ya meatu...kilichotokea nimepigiwa simu na mtu anayejiita afisa utumishi na akanifanyia usaili wa awali kupitia simu...baada ya mda akanipigia na kusema nipo kwenye long list wako kwenye mchakato wa kuchuja na...
Apply Before: 29 Jan
2015
Company > Baker & Sons
Safari Ltd
Location > Dar Es Salaam
Position Type > Full Time
Organization Type >
Company
Position Description
We are looking for 15
licensed drivers to
operate our boda boda
business based in Dar es
salaam. The mode of
business is...
habari ndugu,
Hii NGO tajwa hapo juu iko maeneo gani hapa Dar es salaam? Je kama unatokea Kawe unapanda magari gani ili uweze kufika?
Maana nimeitwa kwenye interview Jumatano.
Asanteni
habari ndg...hii NGO ya MDM tajwa hapo juu iko maeneo gani hapa dar....je kama unatokea kawe unapanda magari gani ili uweze kufika?....maana nimeitwa kwenye interview J5
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.