Ada ya mtoto wa Darasa la 3 ni kubwa kuliko ada ya mtu anayesoma chuo IFM [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]mimi wanangu watasoma kama nilivyosoma... tukutane sekondari ova
Aisee mi sijui niseme nn kuhusu hawa jamaa... binafsi sehemu kubwa ya maendeleo yangu nimeyapata kupitia hawa watu...nilianza kwa kumjengea mwanajeshi mmoja mwaka 2013..nikafanya kazi kwa uaminifu mkubwa sana maana jamaa alikuwa ananipa pesa ya material halafu anasepa...anakaa siku mbili au tatu...
Wakuu mimi ni form 4 .... naomba kuuliza,je naweza kupata nafasi ya kuanza certificate hapo OUT?
Na je wanatoa Faculty zipi (kama nitapewa listi nitashukuru sana)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.