nadhani mashindano ya magari ya dakar yanakabia kuanza so anataka kujiunga kwenye mashindano aoneshe kipaji chake chengine,na sio kupija hela tu kunako serikali....
mimi nimekuelewa hata kama tunaharibu lugha,mwisho wa siku kama wewe nawe unahusika na muhimbili fanyeni mpango muue hao mbu mnatia aibu...
amkawi kuleta propaganda nyingine ya dengue.....!?
mimi namuonaga mshamba wa maisha tu na kujisemea mwenzangu zile stage alizoruka ndio anamalizia angalau ishakuwa jioni......!? kutoka msichana mpaka mama.
bado naivutia picha tu hiyo fly over itakuaje na kijinafasi kile...!? kama ninavyosubilia kuona hayo mabasi yaendayo kasi kama yatasababisha kupungua kwa foleni,maana sasa hivi daladala zetu za zamani hazina vituo zinasimama barabaran..
kama huko unaona kelo sasa ukija dar si utakuwa hauendeleshi hata gari lenyewe,maana hiyo ndani ya kilometa 10 napo kuna vibanda kumi......huku vyeti tu hakuna kukaguana.
da umeme 30000 X 12=360,000
kodi per year 150000 X 12=1,800,000
-jumla 2,160,000.
nilikuwa na mipango yakuamia huko mwaka huu,ila naona niamie pande za tabata tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.