Aaaah aisee ishakua noma sana i worry to be a star couse if they die like a chiken how can be to me when i will be? R.I.P mbaba wa monalisa aka baba sonia.
Jamani maisha bila kazi ni noma natafuta kazi ya kufanya mimi proffesinal yangu ni maswala ya Umeme naweza funga umeme na pili naweza tumia computer fresh sana kama ni microsoft zote nazijua adobe page maker na mambo mengine mengi kama kuna kazi ata hapo mtaani kwenu nishtue basi kwa sasa...
Nina mpenzi wangu ninampenda sana naye ananipenda sana infact tunapendana ila sasa mimi baba yangu ni mchungaji yeye kwao mama na baba yake ni waislamu tena swala tano msichana huyo ananipenda sana na anaitaji kuishi na mimi muda wowote nitakaotaka na pia mimi nampenda ni mwanamke mstaarabu na...
Natafuta mama sukari aka sugar mamy wakunilea napenda sana mama kubwa na sijui nitapataga if kuna anayetaka kijana aniambie kwa email hii igkboy@hotmail.com
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.