Kila kukicha Chadema kinapukutika,
Kila kukicha Chadema inadorola,
Kila kukicha viongozi mahakamani kwa uhalifu wa kijinai,
Kila kukicha Chadema inapoteza mvuto kwa jamii
Je hali hii inaashiria nini kwa Chadema kuelekea 2020 ??
Upo uwezekano wa Chadema kukosa kabisa Wenye viti wa mitaa kufuatia uchaguzi ujao.
Upo uwezekano Mkubwa Chadema kukosa Madiwani na Wabunge kwenye uchaguzi Mkuu 2020 kutokana na kuchukiwa na Wananchi kwa %kubwa.
Upo uwezekano ACT-Wazalendo kuchukua nafasi ya Kambi Rasmi ya Upinzani na Cuf...
1. CHADEMA ilitegemea kuungwa mkono na Nape, January, Ngereja.
2. CHADEMA ilitegemea kupata ujiko kwa
kushinda kesi ya Lisu.
3. CHADEMA ilitegemea Ujio wa Lissu kutumika kama kiki ya kurejesha uhai wa chama.
Je Uhai wa Chadema uko hatarini ??
Chadema imehamwa na Wabunge kibao
Chadema imehamwa na Madiwani kibao
Chadema imehamwa na Viongozi wake kibao
Chadema imepoteza mvuto kwa Watanzania kwa 98%
Chadema imevurugika kiutawala kwa 87%
Chadema imebaki na Washabiki 99% wenye Utaalamu Wa kutukana matusi mitandaoni.
Chadema imebaki na...
Mbowe alikikopa Chama Chake Mamilioni ya fedha na kununua gari la kifahari na anasa.
Akalitumia kutaka upya wake likiwa na Km 00 hadi likafisha Km 200,000 halafu akadai eti ameshindwa kulipa mkopo na kulirudisha kwenye Chama tena baada ya CAG kukiumbua Chama.
Je, huu ni mwenendo mzuri kwa...
Mtu huyo Lazima atakuwa na tabia za Kichadema, Tabia za kutaka Taifa liharibikiwe tu, kutaka Serikali iliyoko madarakani iharibikiwe, kutaka CCM iharibikiwe, Mijitu hii ni Rahisi mno kuijua. Kwa kupitia comments mitandaoni
Nimekuwa nikifuatilia kila anakopita My. Tundu Antipas Lisu, ninachokiona ni yeye kutukana viongozi na Serikali iliyoko madarakani, kukashifu kila kitu, Kubeza kila kitu. Wakati mwingine ninapofikiria kwa kina huwa napata majibu mawili tu;-
1. Laana aliyoipata baada ya kumtukana Baba wa Taifa...
Hivi vyama vya siasa hususan ACT Wazalendo na CHADEMA hofu yao ni Nini? Kwani Muswada unalenga wao tu? Je, CCM siyo Chama Cha Siasa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mala Kikokotoo, mara CAG, Mala risasi 38, Mala Demokrasia imeminywa, Mala wabunge wamenunuliwa, mala operation sangara, mala M4c , yaani ni ujinga ujinga tupu. Lini Chadema wataongea hoja zenye tija?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni ukweli usiopingika kwamba, kanuni ya 1/580 inawaumiza sana sana Wastaafu, tena utaratibu wa kutaka walipwe 25% ya mafao yao ni kuwadhalilisha, kwani siyo kweli kwamba eti wakipewa zote huzitumia vibaya, hawa ni watu wazima na wameendesha yao bila kusimamiwa kwa miaka 60, Wametumia pesa kwa...
Mbowe na wenzake hujinadi kila kukicha kwamba Wanaheshimu Demokrasia, sasa Je Mbowe na wenzake kukwepa Mahakama kwa visingizio vya kuumwa na kuwa safari za nje ni uminyaji wa Demokrasia ? Je Mbowe ni chanzo cha uvunjaji wa Demokrasia? Je Mbowe ni Sultani? Je Mbowe ni Konyi? Je Mbowe ni Savimbi ...
CCM imatia fora kwa kuongeza Wana Chama kwa 91 % kutoka 71% za awali.
Chadema imepoteza wanachama kwa 58% kutoka 85% wa awali. Je nini tafasiri ya hali hii??
Musiba amebainisha wazi kwamba viongozi wa Chadema siyo Wazalendo. Kila kukicha wao ni kuifitisha nchi na mataifa ya nje, hususan ni serikali ya awamu ya Tano, ili ionekane inafanya makosa kiuchumi, kisiasa, kimaendeleo, kimahusiano na mataifa, na hali hii ipelekee Taifa kunyimwa misaada au...
Naufurahia sana mkakati wa kuufuta upinzani uchwara katika anga za siasa ifikapo 2019/20 hapa Tanzania, kwani unatupotezea muda na kutukwamisha kufikia maendeleo ya kweli.
1. Alibuni jinsi ya kupambana na Wenyeviti wa
mitaa waliokuwa wakishirikiana na madalali
hewa kuuza nyumba na viwanja vya Wananchi
na kuwadhulumu
2. Alibuni njia ya kukomesha uhalifu wa panya road,
wizi wa vipuri vya Magari, n.k
3.Alibuni njia ya kukomesha au kupunguza Watoto
wa mitaani na...
Ukimuona mtu analau sana kiongozi wa awamu hii tambua alizoea kupiga dili.
Ukimuona mtu analaumu awamu hii tambua ni Fisadi
Ukimuona mtu analaumu awamu ya tano tambua anatumika na mabepari
Ukimuona mtu anasema flani ni mchawi huwa anawanga usiku , jiulize yeye usiku huo alikuwa wapi hadi akamuona huyo mchawi? Umalaya, ubakaji n.k. huyu ameyajuaje bila kuyashiriki??? Yamkini huyu ni mmoja wao, hongera kwa kujipambanua kuwa ndiye
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.