Makusudically
JF-Expert Member
- Feb 3, 2014
- 2,201
- 1,232
Mbowe na wenzake hujinadi kila kukicha kwamba Wanaheshimu Demokrasia, sasa Je Mbowe na wenzake kukwepa Mahakama kwa visingizio vya kuumwa na kuwa safari za nje ni uminyaji wa Demokrasia ? Je Mbowe ni chanzo cha uvunjaji wa Demokrasia? Je Mbowe ni Sultani? Je Mbowe ni Konyi? Je Mbowe ni Savimbi ? Je Mbowe ni Nduli Idd Amin ? Mbowe ni Bokassa ? Je Mbowe ni Kabulu ? Je Mbowe ni nani hasa hapa nchini hadi aharibu taratibu za Mahakama ??????