Makusudically
JF-Expert Member
- Feb 3, 2014
- 2,203
- 1,235
Mbowe alikikopa Chama Chake Mamilioni ya fedha na kununua gari la kifahari na anasa.
Akalitumia kutaka upya wake likiwa na Km 00 hadi likafisha Km 200,000 halafu akadai eti ameshindwa kulipa mkopo na kulirudisha kwenye Chama tena baada ya CAG kukiumbua Chama.
Je, huu ni mwenendo mzuri kwa Vyama vya Upinzani?
Akalitumia kutaka upya wake likiwa na Km 00 hadi likafisha Km 200,000 halafu akadai eti ameshindwa kulipa mkopo na kulirudisha kwenye Chama tena baada ya CAG kukiumbua Chama.
Je, huu ni mwenendo mzuri kwa Vyama vya Upinzani?