Nilimpoteza mama nikiwa na umri wa miaka 22, wakati anafariki alikuwa na miaka 41,Mimi ni mtoto wa kwanza kuzaliwa, na yeye ndiye alikuwa nguzo yangu ;kwa hakika nilipitia magumu mengi sana Ila Mungu kanivusha salama;Muombe Mungu na atakuvusha salama
Wadau kuna gari aina ya Nissan xtrail inatatizo la kushindwa ku-start asubuhi au wakati wa baridi, mafundi wamejitahidi ila tatizo halijaisha, temperature sensor na starter vimebadilishwa bila ya mafanikio.... msaada tafadhali
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.