Habari,
Hivi SERIKALI inapopandisha bei za nauli MISHAHARA nayo inaangaliwa? Watu bidhaa wanafaidika kwa kuongeza bei lakini mishahara ipo palepale mfano sukari ilipopanda haikushuka ilipo. Tofauti ya kuoanda ni kubwa.
Wiki hii mmetangaza kupanda kwa nauli lakini hali za mishahara kwa sisi...
NILISHAWAHI KUTANA NA HIDDEN KWENYE DALALA KINYEREZI .NILIPOMUONA NIKAMLIPIA NAULI KIMSINGI ALIKUWA KWENYE MAISHA MAGUMU SANA NI MIAKA MIWILI ILIYOPITA .KISA KIKUBWA NI MKE WAKE NA ALIUGUA NUSU KUFA KISA MALI KATI YA YEYE NA MKE WAKE (ALINIELEZA MENGI SANA KWA KIPINDI KILE WHATSAPP HAIKUWA...
Safi sana kuna jamaa baada ya kukosa ajira kwasababu ya corona maana alikuwa mwalimu alianzisha hiyo alisema inalipa kwa siku hakosi elfu 10 faida kwa kuku wanne
huu wizi upo mfanyakazi mwenzangu aliibiwa elfu 76 m pesa kwa vijana hao hao mwaka wa jana ,mtindo kama unafanana isipokuwa wao walimwambia awashe simu baada ya dakika 10 na alipowasha kila kitu kilikuwa kinagoga.Kuna uzi fulani humu ulikuwa unatahadharisha wizi wa aina huo kama sikosi unaweza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.