Inashangaza ktk website ya idara na Wizara za Serikali wameweka namba kibao za TTCL wanaita landline sasa karibu kupiga kama utakaaa kujibiwa. Nimeshajaribu wizara na tasisi kibao sasa mnayaweka kama contact ya nini?
Wakuuu nauza samaki sato na kambale bei Tsh 7000 kwa kg napatikana dar es salamaaa kuanzia kilo 2 nafanya delivery ndani ya dar es salaaam karibuni sana
Kwa wanaitaji samaki sato na kambale wa kufugwa bwani !ni fresh navua siku moja kabla ya kupeleka mzigo (delivery) napatikana dar es salaaam bei Tsh 7000 per kg
Karibuni
Sijui ni mm au hata na wengine kila dk 5 inaingia massage Mara dakapesa.booopesa instmoja.biko.tatumzuka jamani tafuteni njia nyingine ya vipato na ole wenu zingekuwa zinajibika
Nimekuwa nawza hivi ile ahadi ya kuhamia Dodoma bado ipo kama namkumbuka ilikuwa ni DEC mwaka huuu hebu tukumbushame maaana naona wazungu wa WB wanakuja magogoni badala ya huku kwetu kwa kina lusinde
Nimeoma mjinga mmoja ana muataack dada wa watu kwaujasiri wake wa kuwatetea watoto wa kike kurudi shule wapatamo ujauzito ,maria jamiii unajua imesikia ma dunia unajua pamoja tutashinda piga kazi !wakasome kwanza ilani yak ya 2015 =2020 ndo waje na povu
Hawa jamaaa tangu nimeanza kuwafatili wanaongea matangazo tuuu na kidogo kibonde lazima amsifie jiwe yeye Anadhani ukiwa rais wa nchi unakuwa above the law yaaani asikosolewa kwa kigezo cha kutiii mamlaka.
Kwa kweli hizo treni za umeme naona muachane nazo, leo nimeshudia kuanzia asubui mpaka muda muda huu umeme unakuja mara hafifu mara mnazima ukirudi tena hautoshi binafsi nishaunguza taa 2.
Sijui kwa wengine ambao hawakuwepo kuweza kuzima vifaaa vyao. Pamoja na kuripoti TANESCO Ilala na Tabata...
Ni kitendo cha ajabu na cha aibu pamoja na mitandao ya jamii kukemea kilichofanywa na raïa wa kichina cha kumpiga na kumdhalilisha raia wa Tanzania bado mkamuweka ndani.
Aliyefanya hilo kosa yupo huru mpaka Waziri atoke Dar aje Geita ndio mnaona kuna kosa kwa raia wa kichina.
Waziri asingefika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.