Times nimesikia wanatangaza mida hii hukusu mgogoro wao na Davido dhidi ya PrimeTimes Promotion.
Wanadai wamefungua kesi mahakamani ili haki itendeke. Tehteh teheee. Yaan we unakimbilia mahakamani wakati jirani yako ashapiga mpunga wa kutosha!!! Hapo zaidi utasikia, Basata yawaadhibu clouds...
Amini usiamini hili bifu linakuzwa na mitandao ya kijamii na wanaolikuza ni wale ambao hata hawajakanyaga leaders zaidi ya kusimuliwa au kuliangalizia runingani.
Ukweli ni kwamba Kiba alishangiliwa zaidi ya Diamond hilo halipingiki. Wala Diamond hajazomewa kiasi hicho kama mnavyotaka dunia...
Katiba ina mapungufu yake lakini ni nzuri huwezi kuilinganisha na ya 1977. Kuikataa ni kujitoa ufahamu ili kuwafurahisha waliozaliwa kupinga kila kitu.
Jibu zuri sana. Ndo maana na #Ritz kauliza kuwa mbona ikitokea kwa Zitto kusafiri na viongozi inakua nongwa lakini kwa Mbowe kusafiri na viongozi inakuwa sawa na hapo ndo mnaleta drama za utanzania????
Huoni kama hapo kuna mtu amekua akihukumiwa bila hatia???
Tiketi zimeuza ma-agent wote wakaishiwa akabaki mmoja alikua na ki noah anauzia ndani ya gari. Alivyojua wenzake wamemaliza tiketi akapandisha bei hadi 40 hutaki unaacha. Sasa hata ungejifanya ni muhuni ungefanyaje zaidi ya kupiga salute na kuweka mkono mfukoni kutoa wallet???
Hakuna watu...
Yote nimekubaliana na wewe kasoro kwenye viingilio. Unasema leaders kulikua na viingilio vya mbuzi? We chizi kwelikweli. Hata sehemu ya tukio hujafika ndo maana unaongea hayo.
Diamond kapiga shows za sh elf 50 ngapi toka aanze muziki? Kama ni nyingi hazizidi hata 3 au nne na mbali ya kuwa na...
Hahahaha ndugu hawa jamaa bado wapo tena sana usifikiri jk anaweza kuondoka nao. Labda useme siku ccm ikitoka madarakani ndio wanaweza kuishiwa. Lakini bado naona hata ikija chadema wataendelea kutesa tena kwa sana tu kwani Mbowe ni mshkaji wao ndo usiseme kabisa. Wanampelekeaga dili nyingi sana...
Ndugu uko wapi? Mbona hii issue ishaelezwa sana hapa jamvini???
Davido alikua ashachukua advance ya mpunga kutoka Times Promotion kwa ajili ya show ya climax inayofanyika tarehe 1 Novemba hapa Bongo. Na kwenye matangazo ya Radio Times Fm walikua washaanza kumfanyia Promo.
Kwenye ratiba ya...
Unajua me ndo natoka leaders mida hii. Nikiangalia coment za watu humu naona zimekaa kishabiki zaidi. Wala hakuna mchezo wowote ulofanyanyika ni uongo mtupu. Mfano mimi na wadau wengine tulikua mbele kabisa na baadhi tulimshangilia Diamond ila majirani zangu wengne wakamshangilia Kiba.
Kila...
He! Kwan agenda ya katiba sio ya UKAWA tena? Au chadema kaamua kuwawakilisha ndugu zake? Haya ndio madhara ya kufanya siasa za kutumiana. Nia na lengo lao sio moja, hao wahuni wapo kimaslahi zaidi na pindi maslahi yanapoisha hawajuani tena.
Tukiwaambia akili zenu mbovu mnasema tunawatukana... hizi siasa hadi kwenye biashara sijui zitatupeleka wapi. Sasa unamtukana TI kwa kosa gani alilokutenda? Ndio naanza kuamini kuwa hata hawa ndg zetu wa media mnaoshinda mnawatukana kwa kuwatupia lawama kibao yawezekana hawanaga hatia zaidi ni...
Mwanadiwani nauliza.
Mbona hicho kipengele kwenye urais hakijatoa uhuru kwa wapiga kura kumtafta mgombea kwa kigezo cha elimu na badala yake ni lazma mgombea awe na shahada kwa kila chama?
Kwa wabunge mmewaachia wapiga kura watafute elimu za mgombea wao. Kwenye urais mmewaamulia wapiga kura...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.