Inaonekana wewe ndo huna kitandani, cha kufanya si kumsaliti uyo mwanaume wako, ongeza mbwembwe mdada mbo hatarudi.
Nataka nku hakikishie kwamba kamwe huwezi shindana na mwanaume kwa uamuzi unaotaka chukua. Pia hujasema kama umezaa nae au laaa. Take care, utapotea.
Ni muda mrefu sana tangu niondoke MWANZA, nimeskia kuna miradi mikubwa sana ya kibiashara inayoendelea kujengwa hapo mjini, ikiwa ni pamoja na MWANZA CITY COMPLEX, Kituo cha kibiashara cha B.O.T pale ilipokuwa CLINIC ya zamani, pamoja na uwanja wa ndege wa kimataifa wa MWANZA.
Nimekuwa na...
Mie ni kijana wa miaka 24, ni mwanafunzi wa udaktari mwaka wa 3 ktk chuo kikuu cha kcmc, nina mpenzi wangu ambae tumekua kwe love toka form 5, lakin nmetokea kumpenda housegirl wetu. nahisi kuchanganyikiwa na penzi la mtoto uyu wa kitanga. NAOMBENI USHAURI.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.