Zile harakati za kuwa na Muungano ama ushirikiano wa vyama vya siasa katika chguzi umekwama wapi?
Wapinzani walivyoanza kuzungumzia swala hili nilikuwa na matumaini makubwa sana kwamba sasa tutakuwa na ushindani wa kweli wa siasa.
Nikiwa kama Independent nilifarajika, sasa sisikii lolote...
Nimekuwa nikitafakari kwa nini wanasiasa watumie vitabu vitakatifu kula viapo.
Kiongozi anatakiwa aongozwe na katiba ya nchi na sheria za nchi sasa kwa nini ashike Biblia ama Quran kula kiapo-kwa nini asikamate Katiba anayoapa kuilinda na kama akikikuka ahadi hiyo atahukumiwa kwa mujibu wa...
Mara nyingi nimekuwa nikisoma habari kwamba mtuhumiwa amefikishwa mahakamani na kusomewa mashtaka mazito kama ya mauwaji lakini mtuhumiwa hakutakiwa kujibu lolote kwa kuwa mahakama hiyo haina mamlaka na uwezo wa kusikiliza kesi za namna hiyo.
Hivi mtu mwenye akili zake anaweza kwenda sebuleni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.