Search results

  1. S

    Friji kubwa aina ya samsung inauzwa.

    Chukua 3 tuchekiane
  2. S

    Hili la mtihani wa kidato cha pili Serikali imechemka

    Nilikuwa nampenda hyu mama sa iv nimekosa matumaini naye naye amegeuka mtu wa matamko mpaka bhass yaani bora alivyokuwa Dr kuliko now Prof cjamuelewa kabisa
  3. S

    Simulizi: Mwanafunzi Mchawi (A Wizard Student)

    Babu jitaidi kunywa energy drink
  4. S

    Simulizi: Mwanafunzi Mchawi (A Wizard Student)

    Babuuu ukuje umalizie
  5. S

    Manispaa kumiliki timu harafu watu wanakaa chini inakuwaje wadau

    Manispaa saa iv zimeibua mtindo wa kununua timu na kuziendesha hpo me napata kigugumizi maana bajet ya timu c chini ya million 100 kwa hzi za daraja la chini au ndo njia ya kupiga hela kwa mgongo mwingine?
  6. S

    Nyumba inauzwa Tanga

    140 million mkuu maongez yapo
  7. S

    Nyumba inauzwa Tanga

    Nyumba inauzwa Tanga chumbagen karibu tumaini hosp zilizokuwa kota za railway
  8. S

    Soko la Karume lateketea kwa moto usiku

    Wakuu, Nipo eneo la tukio. Mabanda ya wamachinga eneo la Soko Karume yanaungua na moto. Habari zaidi zitafuata. ========== UPDATES: ========== Moto bado ni mkali, unazidi kusambaa na sasa unaelekea Breweries. Usipodhibitiwa mapema utaleta athari kubwa sana. Hali bado ni tete, Fire walifika...
  9. S

    Nyumba inauzwa keko magurumbasi

    Weka picha
  10. S

    Bibi anayekula kokoto, mishumaa.

    Huyo ni balaaa
  11. S

    Sugu amuumbua Waziri Magufuli

    Yaan ni balaa tu hko morogoro wilaya ni lakini nauli shi 70000 miundo mbinu hakuna kivuko akifanyi kazi na tulikuwa na mawazir kombani na mwenzake ni balaa tu
Back
Top Bottom