Umesikia kuhusu vyakula vya Nigeria, umeona kwenye Tv au mitandao ya kijamii.. Hii ni fursa ya kipekee kuja na kuonja misosi mbalimbali ya Nigeria ndani ya Dar es salaam.
Habari wataalamu!
Naomba msaada kwa yeyote ajuaye wapi nitapata dental probiotics na gut probiotics hapa dar, hasa zile za kampuni ya hyperbiotics. Nimejaribu kutafuta hapa dar sijaona mpaka uagize mtandaoni na gharama inaongezeka maradufu.
Miaka ya karibuni nimekuwa mtumiaji wa antibiotics...
Torres leo amejifunza msemo wa "husitukane wakunga na uzazi ungalipo" eti hakuenjoy ucl triumph na Chelsea.... sasa amekiona cha moto[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wapendwa I have a certain sum of money ambayo sitarajii kuitumia soon na nimefikiria kufungua fixed account niweke angalau kwa mwaka mmoja ila sijawahi fungua hiyo account before kwa hiyo kwa wale wanaojua rate of interest ya fixed account especially kwa CRDB wanieleze tafadhali
Asikudanganye mtu A-level ngumu... Ila mimi nasapoti aende advance coz ina heshima yake pia anakuwa na wide choice ya course ya kuchagua chuo.... Kwanza kabla hujafanya uamuzi mtathimini huyo dogo, he alifauli kisa ana bidii au kisa walimu walikuwa wana bidii? Kama ni walimu basi mpeleke tu...
Kuna tech zingine tutaishia kuziangalia kwenye movies tu kama hiyo time travel ni ndoto kwani dunia au maisha sio cinema hata uweze kuruka from one point to another..... Na binadamu bado technology yake ni poor sana imeonesha mapungufu mengi sana, kama ameshindwa hata kumaster mwili wake na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.