Nakushukuru ndugu, kumbe umeelewa kuwa na uza mchele. sasa ungeuliwa hizo taarifa zingine unazoona zimepungua ili nikueleweshe. huu ni mtandao wanajamii wanaingia na kutoka si sawa na gazeti(Newspapers) ambayo yakitoka lazima yawe na habari kamili.
Mapungufu unayo wewe ndugu uliza ujibiwe
Nakushukuru sana ndugu kwa kunielewa. mimi niko hapa Dar, naweza kuwasiliana nao na wakapa sapmle, Aina ya mchele ni supa saro 5 (Jamii ya supa) ni mzuri sana na una harufu nzuri utaupenda, mchele ni mwingi kiasi unachotaka ndo maana nikaelekeza kwa wenye shule au vyuo ikimaanisha kuwa mzigo ni...
Nakushukuru sana ndugu kwa kumuelimisha ndugu huyo; mimi nimelima nimepata mpunga nauza. nimefanya sehemu yangu kuufahamisha umma kuwa nina mchele nauza. wengine wameeelewa, wataelewa,wengine watabeza, wengine watadharau na wengine watafuatilia hasa wenye nia ya dhati. Wengine watawaelimisha wengine
Mimi niko hapa Dar na mawasiliano yanawezakufanyika nikakuletea sample 2. bei ni 1500 3. aina ni jamii ya supa hii ni supa saro 5 (4) ni kutokana na uwezo wako ningependa uanze na tani 5 na kuendelea hata tani 100 ukitaka. ninao
Nakushukuru kwa kuonesha nia.
ituganhila
Nauza kilo moja Tshs 1500/= aina ya mchele ni supa saro 5. Mchele unapatikana kwa wingi kutokana na mavuno niliyo nayo.
Nakushukuru kwa kuonesha nia
ituganhila
Habari wana jamii,
mimi ni mkulima ninao mchele mwingi nauza; mchele huu umelimwa hapahapa Tanzania. Kutokana na wingi wa mchele nilionao, utafaa kwa watu wengi kama shule na vyuo ambako wanafunzi ni wengi zaidi.
Kwa yeyote anayehitaji mchele kwa kiasi kikubwa tuwasiliane tafadhali. Aidha...
Wana jf habari ya hapa jamvini, sisi wana igunga tunamtaka mboje ;aje agombee hapa tutampa kura zetu, huyu ni mtoto wa hapa igunga ni msomi mzuri na anaweza akawa mwakilishi mzuri kwa jimbo la igunga. Kwa taarifa hivi sasa yuko shule marekani. Lakini atafaa sana. Anamsimamo hasa hababaishwi na...
KWAKUWA KUNATARATIBU ZA UINGIZAJI WA SAMAKI NCHINI, NASHAURI UCHUNGUZI WA KITAALAM UFANYWE NA WIZARA HUSIKA ILI KUBAINI KAMA KUNA MIONZI KABLA YA SAMAKI HAO KURUHUSIWA KWA CHAKULA. VITU VINGI SANA VINAINGIZWA NCHINI KINYEMELA AMBAVYO KWA HAKIKA HAVIFAI, NA VITU VINGI SANA VINAPELEKWA NJE KIAINA...
igunga inawatu wanaofaa kutumika na sio mtu ambaye kamwe hafahamu shida za watu wa igunga. Watu hawa walikandamizwa kiasi cha kutisha sana.
Wasomi wa igunga na ndio wanao faa ni akina dr. Kafumu wa itumba ni kamishna wa madini, bw. Mboje mzaliwa wa igunga ambaye ni mtumishi wizara ya mifugo...
na huyu mboje nasikia ni mzaliwa igunga, ingawa ni mtumishi wa serikali lakini loote laweza kufanyika ili kumpata, nasiki anakubalika sana. Na ndiye aliyekuwa mpinzani hatari wa rostam, huyu alikuwa mwiba.
Hivi sasa kwa vyanzo vya habari yuko masomoni usa. Huyu anaweza kufaa kutumika...
Jambo wana JF!
Ubunge igunga ni moja kati ya ajenda mpya yakufanyia kazi. Igunga ina wasomi kadhaa ambao wanafaa kuwa wawakilishi wa wananchi. Wasomi hawa ni pamoja na Dr. Kafumu Kamishna wa Madini- Nishati na Madini, mtaalamu aliyebonea katika madini, tunaye pia Bw. Mboje mtaalamu wa masuala...
Habari za leo wana jf
napenda kuongelea suala la ubunge igunga. Wilaya ya igunga imerudi nyuma kimaendeleo kielimu,kiuchumi na hata kifikira tangu alipofariki kabeho. Baada ya rostam kuachia ngazi sasa wanaigunga wanapumua vizuri. Imefika wakati sasa wa wananchi wa igunga kuchagua mtu makini...
NINASHANGAZWA NA USHINDI WA KISHINDO ALIYOUPATA BW. ROSTAM ABDULASUR AZIZI HUKO IGUNGA. NI KWAMBA JAMAA AMESHINDA BILA YA KUFANYA KAMPENI YOYOTE HAPO IGUNGA. UPINZANI ULIOONYESHWA NA CUF ULIKUWA MKUBWA SANA LAKINI AJABU JAMAA AMESHINDA KWA KURA 35000 NA USHEE DHIDI YA MPINZANI HUYO KWA KURA...
Angalia afya yako kwa kufanya mazoezi, kutafakari na kuinua uchumi wako na familia yako na taifa kwa ujumla. Vinginevyo kichwa kitakuwa cheupe kwa kufikiri ushabiki na bado mambo muhimu yanakuandama. Utapata stroke kwa kushindwa kuhimili presha za ushabiki. Hebu angalia hapo ulipo umefanikiwa...
Jitunze kwanza wewe mwenyewe! Kwanini hukuoa ukiwa at 16?? Angalia vimwana hupagawa kwa kutimiziwa mahitaji ya kawaida tu lakini ndoa si mchezo ni maisha ya milele. Pia Serikali yetu hairuhusu ndoa kwa msichana wa age ya 16 UTAFUNGWA SI MCHEZO
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.