juzi nilikuwepo kwenye uzinduzi wa ile movie yako ila sikuamini nlichokiona Wallah mtoto umbo namba nane limekaa likakalika kweli na huo mtrako nyuma ndo kabisa uliniua nguvu zotee za kiume.. ila nna mashaka kama hii shepu ni yako kweli, ukipata nafasi ya kupitia uzi huu tafadhali nijibu kama...
Wanabodi natafuta mtu wa kubadilishana nae laptop mimi natumia chromebook ila nataka mashine ya window so kwa yeyote aliye tayar anichek PM,
Mashine yangu haina tatizo lolote except spika imeanza kukoroma kidogo lakini wala sio tatizo kwa sababu nimeitumia kistaarabu,
Kwa wasio ijua chromebook...
Pamoja kiongozi wangu...ila nimeanza kujaribu propeller ila naona convertion yao ni ndogo mno utakuta unapata traffic nzuri lakini mpunga mdogo sana???
asante kiongoz wangu nilikua nawasiliana na mazagazaga kipindi flan ila kwa sasa naona namba yake haipatikani na nimemcheki PM naona bado hayuko online unaweza nisaidia namba yake PM plz?? Pia na namba yako ikiwezekana mkuu
Wadau yamenikuta mwenzenu nilikua nikiambiwa sana kuhusiana na adsense kufingia account za africa na especial zinazotegemea traffic ya facebook sasa hatimae yamenikuta wamelamba account yangu ikiwa na kama $148 ,,,asanteni adsense mmeniliza leo
Wadau naomba mmbadala wa adsense tafadhali nataka...
Salaam
Mwenye kuweza kunisaidia kupata chumba cha kupanga maeneo ya kurasini na pawe karibu na chuo cha TIA...
Sihitaji madalali kwasababu pesa ya kuwapa ya mwezi mmoja kusema ukweli sina...hivyo nahitaji direction niende kwa mwenye nyumba mwenyewe..
My budget ni 100k kwa mwezi..
Nitalipa...
mkuu nilikua na plan hyo kwamba nitafute lawyer niongee nae tuone namna ya kufanya lakini kwa nilichokiona leo nimesita..
Nilipofika ofisi za tukta nikaingia kwenye chumba cha director kwasababu ofisi nyingi zilikua hazina watu...na director akanielezeka kwa secretary nikaingia kwa secretary na...
Mkuu nimekupata lakini tatizo linakuja ni kwamba ni hivi majuzi akiba yangi yote nilipeleka kwenye kiwanja changu na nilifanya hivyo kwasababu bos mwenyewe aliniahidi paymemt zangu ningepata mwisho wa mwezi uliopita...hivyo hili tukio la kuachishwa kazi ghafla limeniacha bila akiba yoyote hivyo...
asante kiongozi ila kwakua nimeshafikia hatua nzuri huku kwenye taasisi ya usuluhishi wa ajira basi wacha nione mwisho wake kisha nikiona kuna mkono wa fitna basi nitaenda kwa mkuu wa wilaya
kiongozi salama.
Nilioanga kufanya hivyo hivyo unavyoshauri lakini siku ile ile ambayo aliniambia kazi basi pia alinipiga mkwara mzito kwamba kuanzia siku ile madeni yote yako chini yake na kwamba nosijihusishe nayo..
na hata hivyo tangu siku hiyo nimekua nikipata simu za wadaiwa wetu...
asante kwa ushauri kiongozi nilifika kwenye ofisi za tume ya usuluhishi wa mambo ya ajira na nikapewa maelekezo kua nianzie ofisi za tucta na nikaenda na ninepewa fomu ya kujaza kisha nikarudisha ofisi za tume na pia nikaambatanisha barua ya madai na kwasasa nimepewa tena fomu nipeleke kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.