mkuu hiyo namba 100 inazingua sana ni ngumu kupata watu wa customer care, nimejaribu sana sijapata kama unayo namba nyingine ya customer care ya airtel tafadhali nisaidie.
Sina kumbukumbu yoyote ya PUK, jana nimetoroka kazini nikaenda mlimani city nikakuta bonge la nyomi, nikipiga customer care haipatikani! Kuna jamaa yangu kaniambia ipo jinsi ya kupata PUK bila kwenda kupanga foleni au kuwasiliana na customer care ila kasahau, kwa anaejua naomba anisaidie.
mimi nadhani kwa mkristo haijalishi nani kachinja ila inategemea ni maneno gani yananuiziwa wakati wa kuchinja kama yanakwaza au la imani ya kikristo! je waislam wanaweza wakatuambia ni maneno gani (na maana yake) hunuiziwa wakati wa kuchinja ili tuweze ku judge kwa haki?
ccm kwa muda mrefu wamekuwa wakinufaika na mbinu yao ya kuwagawa wananchi kwa misingi ya udini,ukanda(ukabila) na hata itikadi za kisiasa ila wanapoelekea kwa kuendekeza ubabe wao na kuwaona wananchi waliowapa madaraka ni vilaza na watu wa kuburuzwa tu bila kujali hoja na maslahi yao, SASA...
hata kama miongoni mwao walikuwepo wanachama/wafuasi wa chadema ina maana hata chembe ndogo ya ufahamu wako inashindwa kukupa taarifa kuwa mkusanyiko ule haukuandaliwa na chadema na wala hakukuwa na matamko yoyote kutoka chadema!? sometimes unatia aibu kwa uwezo wako finyu wa kupambanua mambo...
1."he puts his pants on one leg at a time just like you"- he is just like everyone else.
2. "you can not make an omelette without breaking eggs"-you can not achieve anything important without causing a few problems.
3."never test the depth of the river with both feet"-be careful when trying to...
Hivi hii ni adabu gani ya kumkashifu,kumtusi na kumlaani kiongozi mkuu wako wa dini? na huyo unaemtaka wewe akishindwa kutimiza hayo matarajio yako bila shaka utamdhalilisha hivyo hivyo!
Yaani leo ndo nimejua kuwa huyu ndg. halimoja ni hamnazo, pamoja utumbo mreeefu alioandika nina swali moja kwake- anasema vifo hivyo vimesababishwa na chadema, je ni nani na nani wa chadema wenye kesi mahakamani au kukamatwa kuhusiana na vifo hivyo? kama hakuna anapata jibu gani kichwani? kule...
Daah! pole sana ndugu lakini sidhani kama kuna comment yangu yoyote ambayo imeonesha maudhui ya mimi kumwaga povu kama unavyodai, itakuwa vizuri kama utai-quote maana nimepitia sijaona yaweza kuwa umeghafirika kidogo!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.