Watanzania mtaacha kutapeliwa mpaka lini?
Mbona kila siku tunatumiwa sms kuwa umeshinda hujiulizi namba wamepata wapi.
Kama umetumiwa sms hiyo achana nao kama hukiamini chuo utatapeliwa.
Uishi miaka mingi au michache hapa duniani hakuna faida yoyote.
Yaani ni sawa na mtu anayekula chakula kizuri na kibaya wote mtaenda chooni.
Kama wote tutakufa maisha yafaa nini sasa mpaka tuanze kutishana.
Kwamba ukifa kwa kuchelewa kuna faida utaipata hapa duniani?
Mbona amesema vizuri wala hajajichanganya.
Kuhusu suala la Lomalisa aliitwa kwa sababu walikuwa na wasiwasi na maamuzi aliyotoa.
Kuhusu goli la Azizi amesema haikuwa ngumu kuamua( haikuwa tight) kwa var, walimwambia siyo goli
Hili ulilolisema ni nani kakutuma kutoka huku Rukwa?
Ni lini na wapi mkuu wa mkoa analeta maendeleo.
Huyo mkuu wa mkoa aliyeondoka alileta maendeleo yapi mkoa wa Rukwa, yataje
Hivi katiba ikipatikana CCM ndiyo wataacha kuiba kura?
Mbona kipindi cha mwendazake katiba haikufuatwa na hakuna hatua zozote alizochukuliwa.
Tatizo mnafikiri ni jukumu la Chadema kudai katiba hivi kama wananchi hawaitaji katiba chadema wafanye nini?
Nchi yetu bado inatakiwa kuendelea na mfumo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.