Bwana asifiwe,,
Mimi ni muumini wa kanisa la wadvetista msabato
katika maisha yangu nilikuwa na ndoto ya kwenda kusomea uchungaji tangu nikiwa shule ya msingi
lkni nilipomaliza kidato cha nne nilitafuta nafasi nikaambiwa hawachukui kidato cha nne,,au labda nikafanye mtihani unaoitwa mature...
Maeneo ya kule kwetu mara kuna msemo unasema ""kiri omako ja juok" (ikiwa na maana kuwa kuna dawa ambayo ukimpa mtu kama ni mchawi lakini alikuwa anaficha,akinywa hiyo dawa anaanza kuropoka mambo yote aliyokuwa anayafanya kwa siri na kutaja watu aliowauwa/kupanga kuwauwa)
hali hii...
mwaka 2015 ni mwaka ambao watu wengi wanaizungumzia kwa namna tofautitofauti
kuna wanaotamani mwaka wafike haraka ili washudie mabadiliko katika siasa za nchi,
kuna wengine hawaitamani mwaka huo ufike wakiwa hai kwa sababu wanafikiria yale ya kenya yasije kuwakuta kulingana na hali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.