Mzee alikuwa kauzu kinoma hataki watu wale starehe kama yeye[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]ndio wale wazee wanaosema mtoto hana ruhusa kula firigisi
Mkuu mimi mseminary nimekuwa kwenye misingi hiyo ....hakuna maombi bora kama kujisafisha mwenyewe na kuomba kwa Baba wa Mbinguni ........Imani thabiti ipo ndani yako wewe mwenyewe hawa sijui nabii mara mtume au mara kuhani ......tunapoenda hatujui maana unaweza kusema huyu mlevi ameingia vipi...
wewe utakuwa kuhani musa mwenyewe hebu acha blah blah kutuchosha ........Mungu wa kweli ukiwa msafi na imani thabiti ukiomba muda wowote anakusaidia acheni biashara zenu hizo kuna maswali mtakuja kuulizwa after life
Mangungu yupo kiberege .....wakike yupo malinyi mkuu.Uncle wangu alikuwa mbui mkubwa sana alikuwa bado kijana na yeye habari kutembea peku na kuvaa kaniki muda wote pamoja kuwa na kibwenzi mbele na nyuma akaona michosho akaacha akawa anaenda church mizimu ikapita nae..alifanya kazi kipindi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.