Ndugu wanajii,
Tumekuwa tukumsikia waziri wetu Mkuu Mhesimiwa Mizengo Pinda akijiita kuwa yeye ni mtoto wa mkulima na hivyo anapinga vitu kadhaa ambavyo vinaongeza matumizi yasiyo ya lazima ya pesa za umma. Kwa mfano aliwahi kuhoji juu ya ununuzi wa magari ya kifahari kwa watendaji waandamizi wa...
Hoja za namna hii ni za uchochezi na zinahatarisha muungano wetu. Swali hilo ni sawa na mtu kujiuliza "Hivi mimi ningezaliwa Ulaya ningekuwaje?
Tutafute hoja zingine za msingi.
Mi sioni problem kabisa kwani kila mtu anastaili ya maisha yake. Kama kuoga na waifu kuna wafanya mshikamane zaidi hiyo nzuri ila kama ni uswazi na nymba zenyewe za kupanga bafu moja halafu chafu sana sijui inakuwaje hapo?
Hayo ni mambo ya ndani ya chama. Kama kuna masaliti ni vizuri kumpiga chini. Kitu muhimu ni kama huyo muheshimiwa amemtimua baada ya kumpa nafasi ya kujieleza au ni kwa majungu na chuki binafsi maana CCM wanaongoza kwa kupigana majungu.
Mageuzi/mapinduzi yoyote huletwa na wananchi/raia/tabaka la chini kabisa baada ya kuchoshwa na vitimbi vya watawala. yaani muda ukifika utaona kila mtu anachukua hatua. Haihitaji wasomo wengi. Angali mapinduzi ya Ufaransa, Uingereza, Marekani na Urusi.
Nakubaliana na hoja yako kwamba "kilimo kwanza" bila mikakati ya kimiundombinu na wakulima kuandaliwa vya kutosha ni kaulimbiu isiyo na strategy hivyo itabaki midomoni mwa hayo mawazili na wabunge ambao wengi wao tangu kuzaliwa kwao hawajui jembe linashikwaje?
Hivi huyo mkulo anashamba huko kwao...
Acha mada za mapenzi ndugu. Zinaharibu maadili yetu. Huwezi kuongelea kitu kingine tofauti na hayo mapenzi? Mambo yote sasa hivi ni "KILIMO KWANZA" Hebu soma bagdet ya nchi kwanza uone kama mapenzi yamo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.