serikali kuwekeza sana katika siasa jambo ambalo kwa tanzania hii limekua tatizo na kupelekea wasomi wengi kushindwa kuendelea kusoma na serikali kupitia bodi ya mikopo kutoa mikopo kwa sekta ya ualimu zaid je hzo sekta nyngine zinakuaje ni wakati sasa serikali kufungua macho kwan taifa linaangamia
i love my country tz
na inasikitisha sana mwanaume na akili zake timamu ili hali ni rijali kutetea suala hili dah even the grass are not green in other side
sheria hii kupita itakuwa laana kwa tanzania
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.