Nimelelewa na Baba wa kambo , namheshimu kuliko binadamu yeyote chini ya jua , akikoa tu navunja kibubu
Mama anaweza hitaj pesa nikamwambia subiri au sina likn sio mzee
Hatufanani
Hata Roman Abramovich hela aliyotumia kuinunua Chelsea ni ndogo kulinganisha na fedha ambayo Chelsea ilipata katika udhamini wa Yokohama Tyres
Mambo ya Biashara yaheshimiwe kidogo [emoji41]
Popoma ww
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.