jamani UKAWA mnabebembelezwa hadi na mwanasheria mkuu. basi kubalini tu yaishe mrudi mle posho jasho la watz.wenzenu waliokubali wameshaanza kurudi kimmya kimya
boresha mapenzi labda humpatii anachopenda....ndo maaana anachepuka.Mjulishe kuwa umeona hiyo number usimpe nafasi ajieleze.cha msingi msamehe songa mbele na life
unataka penzi unatoa pesa,fullstop, kwani wewe hujui mjini kila kitu pesa,saloon,kucha,mkorogo etc.
cha msingi wewe toa pesa usilalamikie
nimeona boda boda ameandika Mapenzi ya kweli kijijini
ukitaka asikutoe pesa, mshawishi anyoe nywele,asipake kucha rangi. avae nguo za mtumba/kushona bei...
simple, kuwa na fixed amount ambayo upo radhi kutoa,
e.g 4000,5000 ,20000 etc.
ukipewa kadi ya mchango pale pale unampa mtu elfu 5, za mchango wako. baada ya muda watu watakujua kuwa unatoa chini ya matarajio yao,wataacha kukusumbua na kadi za mchango.
mimi huwa namwambia mtoa kadi, sitochanga...
Wahindi wapo smart,wapo wachache yet wanamilikia over 75% ya uchumi wetu.
Raisi ajaye madarakani anatakiwa awamulikie tochi wahindi wote, kwanza awekeke special register (Biometric) ili wale wanaotoka india na pakistani wasijifanye watanzania bila kufuata taratibu za kuomba uraia,
2- Makampuni...
enzi za Nyerere mjumbe wa nyumba kumi alikuwa sehemu ya data collection ya usalama wa Taifa,
kwani mjumbe huyu aliweza kutambua wapita njia,wageni,na wenyeji katika eneo lake,
kwa sasa Tanzania haina wenyewe,hatuna mjumbe wa nyumba kumi,na polisi wapo bize na issue za wizi tu,na ulaji...
mpe live wife,kuwa huduma ya ngono unaipata kwa hisani ya housemaid ,na pia unashauri aongezewe slary kwa huduma yake nzuri soon wife atazinduka na kuanza kutimiza mujibu wake,ilishanitokea ,usifanye siri kwa dunia ya sasa weka bayana mpe wife options hthen utakuwa stressfree
hivi sheria iliyounda TCCRA inasemaje?nilidhani mawasiliano ni ya ndani ya nchi na yale yanayoingia kutoka nje ya nchi.Mungi inabidi uwape ushauri viongozi wako wafanye review ya majukumu yao.ukizingatia wameshapewa kashfa ya kutumia bilioni za TZS kutoa elimu kwwa wafanyakazi wachache.sometime...
frozen umagandia wapi,
watu kama nyie ndo mnatukanwa ndani ya JF,unatoa mada alafu unapotea.!@#$%^&*()_ Ako.
unababaisha hadi JF in the real world sijui utafanikiwaje
waziri amekurupuka.
Foleni zinasababishwa na magari na bajaji,siyo Piki piki.kwani motobike zinapita kati kati ya magari. nadhani amefanya uamuzi huu kwa shinikizo la wamiliki wa TAXI. kwani boda boda zimeua soko la TAXI kati kati ya mji.
watoto wa chuo wapo above 18,ni watu wazima.
mzazi wa mtoto below 18 usiruhusu mtoto akae hostel ambayo siyo shule.ukimweka mtoto katika hosteli za mitaani ni sawa umempangishia chumba mtaani.
ni bora utafute nyumba zenye familia karibu na shule uwalipe ,mwanao aishi nao.kwani hapo watakuwa ni...
spika amewekeza mabasi 8 ktk kampuni ya supafeo,nahisi anajenga mazingira ya kuingia njia ya DAR ARUSHA. vigogo wengine wamewekeza katika usafiri wa mabasi,
ukweli ni kwamba DAr express ni professional bus service.hawawezi kuwashinda on level playing field wanatumia njia za kihuni.kitu kizuri...
huwezi fanikiwa mama anapenda watu wa dini, kwani amejamiiana na Padre ,labda uje kwa gia ya kilokole.pia inataka moyo siyo kazi rahisi ukizingatia sura kama fiat mbaula,k itakuwa kama barabara za mbagala.
mtoto akiwa mkubwa lazima aku Balali
Tuachieni na DAR yetu,kwani hamjui viongozi wetu wa DAR ,wanatumia Masaburi kufikiria na kuyafanyia maamuzi.Achilia mbali Starehe za maungo.
DAR kila mtu mjuaji,awe kaja jana,juzi au mwaka juzi.
DAR kila mganga yupo/mchawai yupo
DAR wezi,matapeli wahindi ndo waliko
DAR is the mother of all...
Kwa Tanzania njia Rahisi kujiunga :
-Join Lions Club,be a Rotarian,
then utakaribishwa katika mikutano ,huko utakutana na Scouts wa new members katika Freemasonry.
inabidi uwe na potentials kama ni kilaza,mvivu huna mtazamo wa kimaendeleo au mlevi ,teja.huwezi kukaribishwa;.
wana jengo...
Usafiri wa Majiji yote makubwa duniani huwa na operators wachache.e.g london kuna kampuni 5 tu za daladala.na zote zinapewa route na halmashauri ya jiji la london.
kwetu sisi UDA ingepewa mamlaka ya route za Dar.alafu ikatoa tenda kwa makampuni ili usimamizi wa maderava na magari uwe makini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.