Vitu hatari sana hivyo vya viwandani kama kuna uwezekano epukana navyo kadri uwezavyo.
JITAHIDI KWENYE HII DOZEN
1.IBADA za moja kwa moja kama SALA na FUNGA.
2.Fanya MAZOEZI.
3.Chai weka ASALI siyo SUKARI
4.JUICE tengeneza mwenyewe.
5.MAFUTA ya kupikia pia punguza sana.
6.Punguza VILEVI NA...
Huwezi kusema "....kuvuka chini ya ......" ni makosa, ungesema "..hawakushuka chini ya...."
Pia juu umeandika kwenye kichwa cha habari ".. ili.." badala ya "..hili.."
Tena ukaandika " tahaluma" badala ya "taaluma".
Sasa hilo ni tatizo ndugu yangu tena kubwa inabidi mtu ujitahidi kuongea na...
Kweli kabisa lakini kufanya kazi za halali ni muhimu wakati tukimtegemea MUNGU.
MUNGU anapenda tujitahidi kwa maarifa yetu yote na nguvu zetu zote aliyotujaalia kwenye maisha yetu halafu tunaposhindwa kabisa ndio huwa anafanya miujiza yake.
Lakini hata wakati wa tukitumia maarifa yetu na...
Siku hizi hakuna haja ya kuwa na mabomu makubwa!
Zamani ilikuwa shida kupiga target kwa umakini wa hali ya juu ndio maana wakatumia mabomu makubwa sana!
Siku hizi mabomu yanaweza kupinpoint target kwa hivyo hakuna haja ya kuyafanya makubwa hivyo
Kwa wapenzi wa filamu za Hollywood watakuwa wanawafahamu hawa manguli wawili ambao wamekuwa wakituburudisha kwa miaka mingi sana.
Al Paccino na Robert De Niro watatokea tena pamoja kwenye filamu ya Martin Scorsese inayoitwa The Irishman itakayotoka 2019
Waliwahi kutokea kwenye filamu ya...
Wewe tulia hujui habari za Urusi na Marekani.
Ubaya gani ambao RT ulishawahi kuwa ni wa uongo dhidi ya Marekani!?
HUJUI umuhimu wa Urusi kwenye Amani ya dunia hivyo tulia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.