Wewe Ni POYOYO
Kushindana na dola kunamsaidia nini Mbowe na upinzani kwa ujumla! Kupambana na mwenye nguvu ya kimamlaka kama Mh. Rais panalisaidia nini Taifa. Wewe Ni POYOYO at your best level
Ni bahati mbaya wanaotetea kutokujua kingereza siyo hoja ya msingi na kwamba hata wachina hawaongei kingereza, mimi nasema hivyo tukitaka kuachana na kingezera basi tuachane na kila kitu cha mzungu.
Huwezi kusoma darasa la kwanza mpaka form six then chuo kwa kutumia hicho kingereza halafu...
Mkuu TheLobbyist kama tumekubaliana wazo ni zuri pasi na shaka, napendekeza tukutane this Sunday Saa 8. Venue chagueni ila maeneo ya sinza, wenge au kijitonyama are more convenient
Mkuu wazo ni zuri sana napendekeza wachache tukutane tulioko Dar tuweke hili jambo sawa halafu tuwashirikishe wengine kwa utekelezaji. Kwa uzoefu wangu watu wengi wanapenda kuona wazo likiwa hatua za utekelezaji. I stand to be corrected
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.